Gazeti La tanzanite badala ya kutoa taarifa sahihi,sasa ni upotoshaji kwa serikali ya magufuli.

mbona n kweli na hata picha ipo apo...
 
Hilo ni zengwe LA kisiasa.
wewe unadhani watu hawa wanakutana kujadili nini, mmoja alishastafu siasa, mwingine n mpinzani haswa, na uyu nae sina ata haja ya kumueleza, yaani hamna hata kitu wanachoshea ktk maisha yao, sasa wamekutana kufanya nini
 
wewe unadhani watu hawa wanakutana kujadili nini, mmoja alishastafu siasa, mwingine n mpinzani haswa, na uyu nae sina ata haja ya kumueleza, yaani hamna hata kitu wanachoshea ktk maisha yao, sasa wamekutana kufanya nini
Musiba kazi ya siasa hawezi.gazeti lake ni kichaka cha uhuni mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…