Gazeti la Wamachinga ni mali ya nani?

Gazeti la Wamachinga ni mali ya nani?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwa vile kuuliza si Ujinga, basi na mimi ninajitokeza mbele yenu wadau ili kutaka kujua Mmiliki hasa wa gazeti linalochapishwa na kusambazwa Tanzania linaloitwa Wamachinga.

Lengo langu ni kujua tu ili kuongeza maarifa.

Naomba kuwasilisha
 
Hili gazeti ni la kibwege sana !

Screenshot_2024-04-19-00-26-55-1.png
 
Kwa vile kuuliza si Ujinga, basi na mimi ninajitokeza mbele yenu wadau ili kutaka kujua Mmiliki hasa wa gazeti linalochapishwa na kusambazwa Tanzania linaloitwa Wamachinga.

Lengo langu ni kujua tu ili kuongeza maarifa.

Naomba kuwasilisha
chawa flani hivi wa yuuviisiisiiemu
 
Kwa vile kuuliza si Ujinga, basi na mimi ninajitokeza mbele yenu wadau ili kutaka kujua Mmiliki hasa wa gazeti linalochapishwa na kusambazwa Tanzania linaloitwa Wamachinga.

Lengo langu ni kujua tu ili kuongeza maarifa.

Naomba kuwasilisha
Kwa mujibu wa taarifa wanazoandika, obviously ni gazeti la mama Samia linaloendeshwa kupitia wakala Cyprian Musiba kama Magufuli alivyokuwa akimtumia kupitia gazeti la Tanzanite.
 
Kwa vile kuuliza si Ujinga, basi na mimi ninajitokeza mbele yenu wadau ili kutaka kujua Mmiliki hasa wa gazeti linalochapishwa na kusambazwa Tanzania linaloitwa Wamachinga.

Lengo langu ni kujua tu ili kuongeza maarifa.

Naomba kuwasilisha
mambo ni mengi hapa mbele tuendako ukistaajabu ya wamachinga utaona ya kina mamantilie mda c mrefu
 
Kwa mujibu wa taarifa wanazoandika, obviously ni gazeti la mama Samia linaloendeshwa kupitia wakala Cyprian Musiba kama Magufuli alivyokuwa akimtumia kupitia gazeti la Tanzanite.
Angalia huu utopolo

Screenshot_2024-06-02-10-07-08-1.png
 
Back
Top Bottom