GB64 atoa tathmini ya usajili wa Simba SC kuelekea msimu wa 2024/2025. Auomba uongozi wa Simba uwalinde wachezaji wageni dhidi ya ulozi wa Yanga SC

GB64 atoa tathmini ya usajili wa Simba SC kuelekea msimu wa 2024/2025. Auomba uongozi wa Simba uwalinde wachezaji wageni dhidi ya ulozi wa Yanga SC

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Bila ya Salamu.

Mwanasimba kindakindaki na mmoja wa viongozi waandamizi wa Tawi la Simba SC katika soko la Karume ametoa tathmini nzima ya usajili wa klabu ya Simba katika dirisha hili kubwa la Usajili kuelekea msimu mpya wa 2024/2025.

Gb64 ni miongoni mwa wasemaji fasaha katika wanachama wa Simba SC, mwenye uwezo wa kuvuta maelfu ya mashabiki wakakaa chini na kumsikiliza amesema kwa wachezaji wapya wanaosajiliwa na Simba wanahujumiwa kwa kufanyiwa vitendo vya kishirikina pindi wanapofika Simba sc. Sio kwamba hawana viwango bali viwango vyao vimekuwa vikidhohofishwa kwa ulozi unaofanywa na watani wa jadi wakishirikiana na mapandikizi yao yaliyojificha ndani ya klabu ya Simba sc.

Ametoa wito kwa uongozi wa klabu kuhakikisha wanawalinda wachezaji vya Visomo vya dua na maombi mbalimbali ili vitendo hivyo vya kishirikina visiweze kuwadhuru wachezaji wetu.

Pia ameupongeza uongozi wa Simba ukiongozwa na tajiri kijana, Mheshimiwa Rais Mohammed Dewji aka Mo kwa kuweza kuondoa magugu yaliyoota ndani ya Simba na kuleta wachezaji wenye umri mdogo na viwango vikubwa barani Afrika.

Pia amedokeza kuwa kuna sajili mbili kubwa zinasubiriwa kutangazwa na Simba ambazo si nyingine bali ni yuleyule Zanzibar finest, FEI TOTO na Mshbuliaji Elia Mpanzu.

Mwisho amemaliza kwa kusema kuwa mechi ya ngao ya jamii inakwenda kuwa ni mechi ya KAZI na UMRI. Mechi baina ya damu changa na wachezaji waliotelekezwa na kuishia kuokotwa na watani wa jadi.

Source: SportsMax
 
Bila ya Salamu.

Mwanasimba kindakindaki na mmoja wa viongozi waandamizi wa Tawi la Simba sc katika soko la Karume ametoa tathmini nzima ya usajili wa klabu ya Simba katika dirisha hili kubwa la Usajili kuelekea msimu mpya wa 2024/2025.

Gb64 ni miongoni mwa wasemaji fasaha katika wanachama wa Simba Sc, mwenye uwezo wa kuvuta maelfu ya mashabiki wakakaa chini na kumsikiliza amesema kwa wachezaji wapya wanaosajiliwa na Simba wanahujumiwa kwa kufanyiwa vitendo vya kishirikina pindi wanapofika Simba sc. Sio kwamba hawana viwango bali viwango vyao vimekuwa vikidhohofishwa kwa ulozi unaofanywa na watani wa jadi wakishirikiana na mapandikizi yao yaliyojificha ndani ya klabu ya Simba sc.

Ametoa wito kwa uongozi wa klabu kuhakikisha wanawalinda wachezaji vya Visomo vya dua na maombi mbalimbali ili vitendo hivyo vya kishirikina visiweze kuwadhuru wachezaji wetu.

Pia ameupongeza uongozi wa Simba ukiongozwa na tajiri kijana , Mheshimiwa Rais Mohammed Dewji aka Mo kwa kuweza kuondoa magugu yaliyoota ndani ya Simba na kuleta wachezaji wenye umri mdogo na viwango vikubwa barani afrika.

Pia amedokeza kuwa kuna sajili mbili kubwa zinasubiriwa kutangazwa na Simba ambazo si nyingine bali ni yuleyule Zanzibar finest, FEI TOTO na Mshbuliaji Elia Mpanzu.

Mwisho amemaliza kwa kusema kuwa mechi ya ngao ya jamii inakwenda kuwa ni mechi ya KAZI na UMRI. Mechi baina ya damu changa na wachezaji waliotelekezwa na kuishia kuokotwa na watani wa jadi.

Source: SportsMax


View: https://m.youtube.com/watch?v=IRjwgi3NVLA

Anayoyasema leo huyu GB64 GENTAMYCINE katika Threads zangu nyingi sana hapa JamiiForums nimeshayasema na kwa Ushahidi unaweza ukatafuta Mada zangu mbalimbali nilizoandika hapa kuihusu Simba SC yangu kwani hata hili la Wachezaji Kurogwa na Uwanja wa Bunju kufanyiwa Ushirikina na mengineyo niliyasema hapa tokea Ligi iliyoisha imeanza.

Acheni kunichukulia poa GENTAMYCINE hapa JamiiForums sawa? Niyasemayo huwa kwa 99.9999% huja kutokea baadae.
 
Anayoyasema leo huyu GB64 GENTAMYCINE katika Threads zangu nyingi sana hapa JamiiForums nimeshayasema na kwa Ushahidi unaweza ukatafuta Mada zangu mbalimbali nilizoandika hapa kuihusu Simba SC yangu kwani hata hili la Wachezaji Kurogwa na Uwanja wa Bunju kufanyiwa Ushirikina na mengineyo niliyasema hapa tokea Ligi iliyoisha imeanza.

Acheni kunichukulia poa GENTAMYCINE hapa JamiiForums sawa? Niyasemayo huwa kwa 99.9999% huja kutokea baadae.
Aiseee
 
Kwa aina ya sajili hizi mnazo Fanya mtahisi wachezaji wenu wanalogwa Kila msimu, na mkiendelea na fikra za aina hii ata nafasi ya tatu mtaikosa maana Singida wanasajili vizuri bila majivuno kuliko Simba.

Swala la Ubingwa au nafasi ya pili ilo ondoeni kwenye fikra zenu kwakua halipo kwa namna mnavyo sajili na kuiongoza timu yenu.
 
Bila ya Salamu.

Mwanasimba kindakindaki na mmoja wa viongozi waandamizi wa Tawi la Simba sc katika soko la Karume ametoa tathmini nzima ya usajili wa klabu ya Simba katika dirisha hili kubwa la Usajili kuelekea msimu mpya wa 2024/2025.

Gb64 ni miongoni mwa wasemaji fasaha katika wanachama wa Simba Sc, mwenye uwezo wa kuvuta maelfu ya mashabiki wakakaa chini na kumsikiliza amesema kwa wachezaji wapya wanaosajiliwa na Simba wanahujumiwa kwa kufanyiwa vitendo vya kishirikina pindi wanapofika Simba sc. Sio kwamba hawana viwango bali viwango vyao vimekuwa vikidhohofishwa kwa ulozi unaofanywa na watani wa jadi wakishirikiana na mapandikizi yao yaliyojificha ndani ya klabu ya Simba sc.

Ametoa wito kwa uongozi wa klabu kuhakikisha wanawalinda wachezaji vya Visomo vya dua na maombi mbalimbali ili vitendo hivyo vya kishirikina visiweze kuwadhuru wachezaji wetu.

Pia ameupongeza uongozi wa Simba ukiongozwa na tajiri kijana , Mheshimiwa Rais Mohammed Dewji aka Mo kwa kuweza kuondoa magugu yaliyoota ndani ya Simba na kuleta wachezaji wenye umri mdogo na viwango vikubwa barani afrika.

Pia amedokeza kuwa kuna sajili mbili kubwa zinasubiriwa kutangazwa na Simba ambazo si nyingine bali ni yuleyule Zanzibar finest, FEI TOTO na Mshbuliaji Elia Mpanzu.

Mwisho amemaliza kwa kusema kuwa mechi ya ngao ya jamii inakwenda kuwa ni mechi ya KAZI na UMRI. Mechi baina ya damu changa na wachezaji waliotelekezwa na kuishia kuokotwa na watani wa jadi.

Source: SportsMax


View: https://m.youtube.com/watch?v=IRjwgi3NVLA

Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaa Mwamedi Kanjibai the Glazerbhai janja2.
 
Hizi akili za makolo kuwa Yanga tunaroga sijui tunatoa bahasha kushinda ndio mtaji wetu mkubwa uto fc.

Yanga ikicheza lile pira Gamondi kama Real Madrid mbumbumbu guvu moya huwa wako bize kuangalia barbarosa wakisikia kelele wanakuja mbio kuangalia na kukuta Aziz Ki kafunga goli la 32!! Huwa hawaoni jinsi wananchi tunavyotembeza boli akili zao ziko kwenye tunguli tu!

Wananchi shime tuhakikishe sanamu la Rage limejengwa msimbazi na tuwaombee sana mbumbumbu Simba wasitoke kwenye akili hizi za shule ya vidudu ili tuendelee kubeba makombe!! Siku makolo wakiamka tumekwisha!!
 
Mtatafuta wachawi wee mpaka mchoke. Mchawi wenu ni nyie wenyewe. Suala siyo usajili tu ni aina aina ya usajili. Kila msimu mnasajili timu nzima na kubadili makocha kila baada ya miezi sita stability itatoka wapi?
 
Back
Top Bottom