GDP sikuhz figure za kupachika tu? maana kila mwezi unafigure tofaut kutoka chanzo kilekile...Economists in the house can u define GDP current prices .Kenya beats Tz and UG combined or Rather About Double TZ. yani hakuna siku TZ itachapa kenya apart from population,poverty na land size.
View attachment 1116283View attachment 1116284View attachment 1116285View attachment 1116286View attachment 1116287View attachment 1116288View attachment 1116289View attachment 1116290
GDP ziko za aina nyingi, kuna GDP nominal, GDP PPP, GDP current prices na GDP constant prices .... Next time ukiona data ya GDP imebandikwa uchunguze ni aina gani ya GDPGDP sikuhz figure za kupachika tu? maana kila mwezi unafigure tofaut kutoka chanzo kilekile...
Sasa nikuulize kwanini Kenya inashindwa kujenga hata1km ya SGR kwa pesa yake mwenyeweEconomists in the house can u define GDP current prices .Kenya beats Tz and UG combined or Rather About Double TZ. yani hakuna siku TZ itachapa kenya apart from population,poverty na land size.
View attachment 1116283View attachment 1116284View attachment 1116285View attachment 1116286View attachment 1116287View attachment 1116288View attachment 1116289View attachment 1116290
mmejenga nini na pesa yenu?..tax collection yenu ni 0.3 enye kenya ina collectSasa nikuulize kwanini Kenya inashindwa kujenga hata1km ya SGR kwa pesa yake mwenyewe
Huku Tanzania ikijenga zaid ya 500Km Kwa pesa yake!?
Unasema kwamba Kenya inashindwa kujenga SGR wakati nyinyi hapo hata vitu msingi kama afya na elimu mnafadhiliwa na mabwana zenu. Bajeti yenu inafadhiliwa kwa zaidi ya 45% na misaada(sio mikopo) ya wazungu huku Kenya tukifadhili bajeti yetu sisi wenyewe kwa 96%. Sasa ndio mnajiita matajiri na longo longo za kwa pesa zetu. Wakati mkileta zogo kuhusu ushoga mnabanwa na mabwana zenu. Hela mnakosa za kuwalipa walimu na madaktari hadi mnalegeza na kuwa wadogo kama piriton?Sasa nikuulize kwanini Kenya inashindwa kujenga hata1km ya SGR kwa pesa yake mwenyewe
Huku Tanzania ikijenga zaid ya 500Km Kwa pesa yake!?
Mmejifadhili mradi gan mkubwa kwa fedha za kodi nk ?Unasema kwamba Kenya inashindwa kujenga SGR wakati nyinyi hapo hata vitu msingi kama afya na elimu mnafadhiliwa na mabwana zenu. Bajeti yenu inafadhiliwa kwa zaidi ya 45% na misaada(sio mikopo) ya wazungu huku Kenya tukifadhili bajeti yetu sisi wenyewe kwa 96%. Sasa ndio mnajiita matajiri na longo longo za kwa pesa zetu. Wakati mkileta zogo kuhusu ushoga mnabanwa na mabwana zenu. Hela mnakosa za kuwalipa walimu na madaktari hadi mnalegeza na kuwa wadogo kama piriton?
GDP at current prices ni GDP ambayo inatumia latest prices za goods and services which means ina-include inflation. Opposite yake ni GDP at constant prices ambayo hai-include inflation. Lakini hatuwezi jua kama ni norminal ama ppp juu hawajasema. Lakini kulingana na experience niko nayo naeza kuambia hii ni GDP PPP.Economists in the house can u define GDP current prices .Kenya beats Tz and UG combined or Rather About Double TZ. yani hakuna siku TZ itachapa kenya apart from population,poverty na land size.
View attachment 1116283View attachment 1116284View attachment 1116285View attachment 1116286View attachment 1116287View attachment 1116288View attachment 1116289View attachment 1116290
Economists in the house can u define GDP current prices .Kenya beats Tz and UG combined or Rather About Double TZ. yani hakuna siku TZ itachapa kenya apart from population,poverty na land size.
View attachment 1116283View attachment 1116284View attachment 1116285View attachment 1116286View attachment 1116287View attachment 1116288View attachment 1116289View attachment 1116290
Ushahidi???kile tunajua kilomita 300 ndio mnajenga na pesa ya "ndani"hapo pengine mlikopa stanchart bank...Sasa nikuulize kwanini Kenya inashindwa kujenga hata1km ya SGR kwa pesa yake mwenyewe
Huku Tanzania ikijenga zaid ya 500Km Kwa pesa yake!?
Budget inayoisha mwez July Tanzania imefadhiliwa na wazungu 6% TuUnasema kwamba Kenya inashindwa kujenga SGR wakati nyinyi hapo hata vitu msingi kama afya na elimu mnafadhiliwa na mabwana zenu. Bajeti yenu inafadhiliwa kwa zaidi ya 45% na misaada(sio mikopo) ya wazungu huku Kenya tukifadhili bajeti yetu sisi wenyewe kwa 96%. Sasa ndio mnajiita matajiri na longo longo za kwa pesa zetu. Wakati mkileta zogo kuhusu ushoga mnabanwa na mabwana zenu. Hela mnakosa za kuwalipa walimu na madaktari hadi mnalegeza na kuwa wadogo kama piriton?
Budget inayoisha mwez July Tanzania imefadhiliwa na wazungu 6% Tu
Nyang'au at your level best in exaggerating thingsmmejenga nini na pesa yenu?..tax collection yenu ni 0.3 enye kenya ina collect
Kwa hivyo ni kweli kwamba mabeberu wanatoa asilimia sita pekee ya budget inayofuata? Kama ni kweli hongera zenu, nimefurahi kusikia EAC tunasonga mbele na tunakuwa watu wazima wa kujitegemea.Not by choice, ni kwa sababu wenye pesa zao hawatoi tena. Ila wakitoa mnashangilia na kukata viuno mkimsifia jiwe. Pathetic!
Sasa nikuulize kwanini Kenya inashindwa kujenga hata1km ya SGR kwa pesa yake mwenyewe
Huku Tanzania ikijenga zaid ya 500Km Kwa pesa yake!?
Hongera zenu kama ni kweli. Kujitegemea ni kitu cha maana sana maishani.Budget inayoisha mwez July Tanzania imefadhiliwa na wazungu 6% Tu
Kwa hivyo ni kweli kwamba mabeberu wanatoa asilimia sita pekee ya budget inayofuata? Kama ni kweli hongera zenu, nimefurahi kusikia EAC tunasonga mbele na tunakuwa watu wazima wa kujitegemea.