Okay, poa.Work of fiction, don't take that literally.
Lakini mambo si yanaenda na miradi inaendelezwa na watu wana makazi, msosi na biashara zinazidi rahisishwa kwa ujenzi wa miradi mingi.Not by choice, ni kwa sababu wenye pesa zao hawatoi tena. Ila wakitoa mnashangilia na kukata viuno mkimsifia jiwe. Pathetic!
Huyo ni nyumbu. Sasa wewe amini ng'ombe mwitu at your own peril.Okay, poa.
Miradi gani inaendelezwa kama Bagamoyo ilikufa....Ujenzi wa barabara na project zingine zimesimamishwa kufadhili SGR iliyokwama kichakani....Stiglers gorge hata usiongee....Mradi utachukua miaka ishirini kukamilika, that is kama utaanza.....Ni biashara gani unasema zinazidi kurahisishwa?? Urahisi wa kufanya biashara Tz umeshuka Kwa nafasi 12 kuonyesha both private na public investors wanaogopa kuekeza Mali Yao huko Kwa kuhofia policies za Jiwe.....Lakini mambo si yanaenda na miradi inaendelezwa na watu wana makazi, msosi na biashara zinazidi rahisishwa kwa ujenzi wa miradi mingi.
Na tunazidi kupunguza utegemezi.
Wewe nyumbu unasemaje.
Basi na nyie jengeni hizo kilometer 300 kwa pesa yenu tuone heheheeUshahidi???kile tunajua kilomita 300 ndio mnajenga na pesa ya "ndani"hapo pengine mlikopa stanchart bank...
Tunajenga Kwa pesa za ndani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Basi na nyie jengeni hizo kilometer 300 kwa pesa yenu tuone hehehee
Tunajenga Kwa pesa za ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 1117117
Hahahaha....tumeshindwa kujenga sgr hata km 1?? Una akili nzuri wewe??......Bagamoyo iko wapi? Stiglers gorge mliotengeneza na pesa zenu iko wapi? Hiyo sgr hata tusiongee..Mturuki katoroka...pesa za ndani zimekwisha.......Halafu ndio Hilo deni mshaanza kulipa......kwani hili deni lilikuwa linafadhili nini kama miradi yote imekwama?...Sisi tunalipa deni ya miradi tunayoiona.......Madeni tunalipa na miradi inasonga a.....sasa nyie wakenya mloshindwa kujenga sgr yenu hata km 1 na bado mmeomba mkopo kwaajili ya kujazia kwa budget yenu hahahaha...safari hii kenya mnalo
Huwa sibishani na watoto.. Sorry sikujua kama hujabalehee..Hahahaha....tumeshindwa kujenga sgr hata km 1?? Una akili nzuri wewe??......Bagamoyo iko wapi? Stiglers gorge mliotengeneza na pesa zenu iko wapi? Hiyo sgr hata tusiongee..Mturuki katoroka...pesa za ndani zimekwisha.......Halafu ndio Hilo deni mshaanza kulipa......kwani hili deni lilikuwa linafadhili nini kama miradi yote imekwama?...Sisi tunalipa deni ya miradi tunayoiona.......
🤣🤣🤣🤣 Kwa heri ya kuonana....nenda kafanye kazi serikali ya jiwe ipate ushuru wa kulipa deni iliyofadhili miradi hewa!!Huwa sibishani na watoto.. Sorry sikujua kama hujabalehee..
Ni kweli ama si kweli kwamba mnapokea misaada wa asilimia sita pekee kwa bajeti yenu? Miaka miwili iliyopita mlikuwa mnapokea asilimia thelathini ya bajeti yenu kupitia misaada. Kenya tunapata misaada kwa asilimia sita ya bajeti kwa hivyo kama nyie pia mmefika ligi yetu basi hongera, hamna haja ya nyie kuitwa LDC tena.Huyo ni nyumbu. Sasa wewe amini ng'ombe mwitu at your own peril.
Ligi yetu ya kuomba mkopo kujazia budget ni ligi kubwa ya mido inkamu. Ligi yenu ni ya kuomba misaada kujazia budget.Madeni tunalipa na miradi inasonga a.....sasa nyie wakenya mloshindwa kujenga sgr yenu hata km 1 na bado mmeomba mkopo kwaajili ya kujazia kwa budget yenu hahahaha...safari hii kenya mnalo
Ligi mnayotushinda ni njaa na slums tuu bila sahau ujambaziLigi yetu ya kuomba mkopo kujazia budget ni ligi kubwa ya mido inkamu. Ligi yenu ni ya kuomba misaada kujazia budget.
Na nyie mnatushinda kwa kuomba misaada. Sie tunaomba loan. Kuna tofauti kubwa hapo.Ligi mnayotushinda ni njaa na slums tuu bila sahau ujambazi
Bagamoyo ilikuwa unyonyaji mwingine, sgr haijakwama vichakani, inajengwa sana tu, wanaelekea singida sasa hivi from Dom, tazama yapi merkez channel kwa youtube ujionee, stigler's hundi zimetolewa kama unafuatilia habari. Boss, be informed first.Miradi gani inaendelezwa kama Bagamoyo ilikufa....Ujenzi wa barabara na project zingine zimesimamishwa kufadhili SGR iliyokwama kichakani....Stiglers gorge hata usiongee....Mradi utachukua miaka ishirini kukamilika, that is kama utaanza.....Ni biashara gani unasema zinazidi kurahisishwa?? Urahisi wa kufanya biashara Tz umeshuka Kwa nafasi 12 kuonyesha both private na public investors wanaogopa kuekeza Mali Yao huko Kwa kuhofia policies za Jiwe.....
Kuna faida ya sisi kuitwa ldc mkuu.Ni kweli ama si kweli kwamba mnapokea misaada wa asilimia sita pekee kwa bajeti yenu? Miaka miwili iliyopita mlikuwa mnapokea asilimia thelathini ya bajeti yenu kupitia misaada. Kenya tunapata misaada kwa asilimia sita ya bajeti kwa hivyo kama nyie pia mmefika ligi yetu basi hongera, hamna haja ya nyie kuitwa LDC tena.
Taja nchi zilizoipa misaada bongo miaka mitatu afu jumlisha jumla ya msaada tuliopewa hahahahaNa nyie mnatushinda kwa kuomba misaada. Sie tunaomba loan. Kuna tofauti kubwa hapo.
Bagamoyo ilikuwa unyonyaji mwingine, sgr haijakwama vichakani, inajengwa sana tu, wanaelekea singida sasa hivi from Dom, tazama yapi merkez channel kwa youtube ujionee, stigler's hundi zimetolewa kama unafuatilia habari. Boss, be informed first.
Wewe ni poyoyo taslimMiradi gani inaendelezwa kama Bagamoyo ilikufa....Ujenzi wa barabara na project zingine zimesimamishwa kufadhili SGR iliyokwama kichakani....Stiglers gorge hata usiongee....Mradi utachukua miaka ishirini kukamilika, that is kama utaanza.....Ni biashara gani unasema zinazidi kurahisishwa?? Urahisi wa kufanya biashara Tz umeshuka Kwa nafasi 12 kuonyesha both private na public investors wanaogopa kuekeza Mali Yao huko Kwa kuhofia policies za Jiwe.....