Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
- Kenya na average GDP growth rate ya 5.4%, mishara halisia imeshuka kwa asilimia 1.6% ndani ya miaka kumi...
-Tanzania na average GDP growth rate ya 7% ndo inaongoza Africa nzima kwa kudorora kwa mishahara ya wafanyikazi
-Ethiopia nao na GDP growth rate ya 9% wako na afadhali Lakini mishahara yao bado iko chini sana ukilinganisha na nchi za EAC, yani kama x5 lower.
-Rwanda pekee ndo nchi ya EAC ambapo mishahara inaongezeka kulingana na ukuaji wa uchumi..
Hili sijui watanzania mtasemaje, nyinyi ndo mnaongoza kwa GDP growth rate ndani ya nchi za EAC na pia muko namber ya pili au tatu africa kwa GDP growth rate , tena hua mnapenda kujisifu kua inflation yenu iko chini, sijui kwanini mapato halisia ya wafanyikazi yanazidi kushuka kila mwaka....
Yani ule mshahara (au uwezo wa mshahara kununua bidhaa) ambao mfanyikazi alikua analipwa miaka kumi iliopita ni mkubwa kwa asilimia 9% kuliko mshahara wa sasa.
-----------------------------
NEW YORK,
With wages adjusted for inflation, Kenyan workers are earning less than they did 10 years ago, the United Nations’ International Labour Organization (ILO) says in a report released on Monday.
The rate of change in real wages (a term used in the report to refer to inflation-adjusted monthly earnings) dropped by 1.6 percent in Kenya from 2008 to 2017, the ILO global study shows.
NO BENEFIT
The fall in real wages was even steeper last year for Kenya, declining by 2.9 percent, the report notes.
It can thus be inferred from the ILO report that Kenyan wage workers have not benefitted financially from the country’s economic expansion in recent years.
Related Content
The country lags regionally in real-wage average growth rates, the ILO study shows.
Among the 24 sub-Saharan countries included in the report, real wages increased 2.7 percent during the past five years.
Real-wage rates rose most sharply in that period in Senegal (32.3 percent), while falling most precipitously in Tanzania (-9.5 percent), the report shows.
NOMINAL WAGES
Citing the Kenyan National Bureau of Statistics as its source, the ILO reports that nominal wages (those not adjusted for inflation) have grown substantially in Kenya, rising from an average of Sh42,886 per month in 2013 to Sh57,008 last year.
The ILO report cautions that “wage employees in Africa represent only a limited proportion of these countries’ working populations.”
The study does not present estimates for changes in earnings among workers in countries’ informal sectors.
Although the new ILO report focuses on disparities in earnings between men and women, the study contains no data for the gender pay gap in Kenya specifically or in sub-Saharan Africa as a whole.
Globally, the UN body says, women are paid about 20 percent less than men.
UN exposes shame of Kenyans' pay
------------------------------------
Ili msianze kulaumu magazeti ya Kenya kwa kuwachomea picha, nimetafuta hio ripoti ya ILO
https://www.ilo.org/wcmsp5/groups/p...---publ/documents/publication/wcms_650553.pdf
Eastern Africa big 4 wote wameuma negative! Tunaharibia Africa picha kwa kuvuta meanscore chini
-Tanzania na average GDP growth rate ya 7% ndo inaongoza Africa nzima kwa kudorora kwa mishahara ya wafanyikazi
-Ethiopia nao na GDP growth rate ya 9% wako na afadhali Lakini mishahara yao bado iko chini sana ukilinganisha na nchi za EAC, yani kama x5 lower.
-Rwanda pekee ndo nchi ya EAC ambapo mishahara inaongezeka kulingana na ukuaji wa uchumi..
Hili sijui watanzania mtasemaje, nyinyi ndo mnaongoza kwa GDP growth rate ndani ya nchi za EAC na pia muko namber ya pili au tatu africa kwa GDP growth rate , tena hua mnapenda kujisifu kua inflation yenu iko chini, sijui kwanini mapato halisia ya wafanyikazi yanazidi kushuka kila mwaka....
Yani ule mshahara (au uwezo wa mshahara kununua bidhaa) ambao mfanyikazi alikua analipwa miaka kumi iliopita ni mkubwa kwa asilimia 9% kuliko mshahara wa sasa.
-----------------------------
NEW YORK,
With wages adjusted for inflation, Kenyan workers are earning less than they did 10 years ago, the United Nations’ International Labour Organization (ILO) says in a report released on Monday.
The rate of change in real wages (a term used in the report to refer to inflation-adjusted monthly earnings) dropped by 1.6 percent in Kenya from 2008 to 2017, the ILO global study shows.
NO BENEFIT
The fall in real wages was even steeper last year for Kenya, declining by 2.9 percent, the report notes.
It can thus be inferred from the ILO report that Kenyan wage workers have not benefitted financially from the country’s economic expansion in recent years.
Related Content
- Employers warn against rise in wages
- How tax burden will affect Kenyans
- Duale pushes for more women in Parliament
The country lags regionally in real-wage average growth rates, the ILO study shows.
Among the 24 sub-Saharan countries included in the report, real wages increased 2.7 percent during the past five years.
Real-wage rates rose most sharply in that period in Senegal (32.3 percent), while falling most precipitously in Tanzania (-9.5 percent), the report shows.
NOMINAL WAGES
Citing the Kenyan National Bureau of Statistics as its source, the ILO reports that nominal wages (those not adjusted for inflation) have grown substantially in Kenya, rising from an average of Sh42,886 per month in 2013 to Sh57,008 last year.
The ILO report cautions that “wage employees in Africa represent only a limited proportion of these countries’ working populations.”
The study does not present estimates for changes in earnings among workers in countries’ informal sectors.
Although the new ILO report focuses on disparities in earnings between men and women, the study contains no data for the gender pay gap in Kenya specifically or in sub-Saharan Africa as a whole.
Globally, the UN body says, women are paid about 20 percent less than men.
UN exposes shame of Kenyans' pay
------------------------------------
Ili msianze kulaumu magazeti ya Kenya kwa kuwachomea picha, nimetafuta hio ripoti ya ILO
https://www.ilo.org/wcmsp5/groups/p...---publ/documents/publication/wcms_650553.pdf
Eastern Africa big 4 wote wameuma negative! Tunaharibia Africa picha kwa kuvuta meanscore chini