LGE2024 Geita: BAWACHA yalaani kuenguliwa kwa wagombea wa CHADEMA

LGE2024 Geita: BAWACHA yalaani kuenguliwa kwa wagombea wa CHADEMA

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limelaani vikali hatua ya kuenguliwa kwa wagombea wa CHADEMA katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vijiji unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu.

Kaimu Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa, Sharifa Suleiman, alitoa kauli hiyo wakati wa ziara yake mkoani Geita, iliyolenga kuimarisha Baraza hilo. Akizungumza katika kikao kilichowakutanisha viongozi wa BAWACHA mkoani humo, Sharifa alisema wanawake hawatarudi nyuma katika kushiriki uchaguzi huo.


 
Wakuu,

Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limelaani vikali hatua ya kuenguliwa kwa wagombea wa CHADEMA katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vijiji unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu.

Kaimu Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa, Sharifa Suleiman, alitoa kauli hiyo wakati wa ziara yake mkoani Geita, iliyolenga kuimarisha Baraza hilo. Akizungumza katika kikao kilichowakutanisha viongozi wa BAWACHA mkoani humo, Sharifa alisema wanawake hawatarudi nyuma katika kushiriki uchaguzi huo.
Walichofanyiwa vyama vya upinzani mimi natafsiri kama ukatili mwingine unafanyika
 
Jimbo zima la kawe hawajui kujaza fomu, wengine nafasi walizoomba hazipo?
Seriously?
Mwenyekiti anayeitwa huru wa kamati ya RUFAA NI DAS?
Yaani ROBERT AMOSI SIYANTEMI ampitishe mgombea wa chadema? Chama alichokichukia tangu utotoni mwake?
Note: SIYANTEMI SIYO DAS Wa KINONDONI.ametajwa hapa kuonesha mfano wa jinsi yanayowezekana yasivyowezekana
 
Hivi hao wagombea wameenguliwa kwa mafungu mafungu? Mbona kijiji nilipo nafasi zote kuanzia mwenyekiti wa kijiji, kitongoji na wajjmbe ni mchuano baina na ccm na chadema. Zingatia, kijiji kipo mkoa wa Geita na halmashauri ya Geita mji.

Hitimisho.
Chadema waache kulia lia, haiwezekani vijiji/kata zingine kisiwe na malalamiko, hivyo malalamiko yametokana na u-incompetence wa wagombea na viongozi wao wa chama.

Zingatio la kihitimisho.
Nina kadi za kielectroniki za ccm na chadema.
 
Wakuu,

Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limelaani vikali hatua ya kuenguliwa kwa wagombea wa CHADEMA katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vijiji unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu.

Kaimu Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa, Sharifa Suleiman, alitoa kauli hiyo wakati wa ziara yake mkoani Geita, iliyolenga kuimarisha Baraza hilo. Akizungumza katika kikao kilichowakutanisha viongozi wa BAWACHA mkoani humo, Sharifa alisema wanawake hawatarudi nyuma katika kushiriki uchaguzi huo.
Hawa Bawacha si wale vibaka wanaochoma nguo?
 
Back
Top Bottom