Pre GE2025 Geita: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

Pre GE2025 Geita: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Wakuu,

1. MBUNGE WA BUKOMBE - Dotto Biteko

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Alichaguliwa kuwa Mbunge wa Bukombe mkoani Geita mwaka 2015 na alishinda kwa kura 71,640 dhidi ya 11,433 za mpinzani wake.

Wadhifa wa Kiserikali: Aliteuliwa kuwa Waziri wa Madini mwaka 2019 na alihudumu hadi 2023, alipochaguliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.

Elimu:

Shule ya Msingi: Nyaruyeye (1994)
Sekondari: Sengerema (1998), Butimba Technical (2005)
Ualimu: Katoke Teachers College (2001), Butimba Teachers College (2004), Morogoro Teachers College (2007)
Shahada: St. Augustine University of Tanzania (2010)
Masters (2013), Renmin University, China (2013).

Kazi za Nje ya Siasa: Alishawahi kuwa mwalimu na Mwenyekiti wa Chama cha Waalimu Tanzania (TTU), Geita.



2. MBUNGE WA BUSANDA - Tumaini Bryceson Magessa

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Alishinda kiti cha Busanda kwa kura 50,412 dhidi ya 11,635 za mpinzani wake mwaka 2020.

Elimu:

Shule ya Msingi: Nyakagomba (1979)
Sekondari: Mazengo (1983)

Elimu ya Ufundi: Full Technician Certificate, Dar Technology College (1987), Advanced Diploma in Electronic Engineering, DIT (2002)

Shahada: Postgraduate Diploma na Masters katika Electronics Engineering, University of Dar es Salaam (2004-2009).

Kazi za Nje ya Siasa: Mhandisi wa Umeme na Mwalimu, Assistant Lecturer DIT (2009-2015), Mkuu wa Wilaya ya Kiteto (2016-2020).

Shughuli Bungeni: Mjumbe wa Kamati ya Kilimo, Ufugaji, na Maji, ameuliza maswali 44 na kutoa michango 35.


3. MBUNGE WA CHATO - Medard Matogolo Kalemani

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Medard Kalemani alichaguliwa kuwa Mbunge wa Chato mwaka 2015 na alishinda kwa kura 13,599 dhidi ya 7,473 za mgombea wa CHADEMA, Masai Lucas.

Wadhifa wa Kiserikali: Alihudumu kama Waziri wa Nishati kuanzia mwaka 2017 hadi 2021, ambapo alijitolea kuleta mabadiliko katika sekta ya nishati nchini Tanzania.

Elimu:

Shule ya Msingi na Sekondari: Alisoma katika shule za msingi na sekondari nchini Tanzania.
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM): Shahada ya Sheria (1996).
Shahada ya Uzamili ya Sheria: Alipata kutoka Chuo Kikuu cha Dundee, Scotland mwaka 2002.

PhD: Alipata kutoka Chuo Kikuu cha Bedford, Uingereza, lakini maelezo zaidi kuhusu mwaka wa kutunukiwa PhD hayaelezwi wazi.

Kazi za awali:

1997-1998: Meneja wa Kisheria, Shirika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi (IRC).
1999-2006: Afisa wa Kisheria katika Wizara ya Nishati na Madini.
2007-2013: Mwanasheria Mkuu wa Millenium Challenge Account Tanzania.
2013-2015: Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Kisheria, Wizara ya Nishati na Madini.
2015: Aliingia bungeni na kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Madini na Nishati kabla ya kuchaguliwa kuwa Waziri wa Nishati mwaka 2017.


4. MBUNGE WA GEITA MJINI - Constantine John Kanyasu

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Kanyasu alichaguliwa kuwa Mbunge wa Geita Mjini mwaka 2015. Katika uchaguzi wa mwaka 2020, alishinda kwa kura 31,510, akimshinda mpinzani wake kutoka CHADEMA aliyepata kura 17,272.

Elimu:

Shule ya Msingi: Nzera Primary School (1979-1984), alihitimu CPEE.
Shule ya Sekondari: Geita Secondary School (1986-1989), alihitimu CSEE.
Mafunzo ya Ufundi: Mbegani Fisheries Development College (1990-1992), alihitimu Cheti.
Shahada: Bachelor of Commerce (Accounting) kutoka Open University of Tanzania (2003-2006).
Uzamili: MBA-Finance kutoka St. Augustine University of Tanzania (2007-2009).
Postgraduate Diploma: Aalto University, Finland (2019).

Kazi za awali na Kuingia Kwenye Siasa:

2018:
Aliteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Naibu Waziri Mkuu wa Rasilimali Asili na Utalii.


5. MBUNGE WA MBOGWE - Nicodemus Henry Maganga

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Maganga alichaguliwa kuwa Mbunge wa Mbogwe mwaka 2020. Katika uchaguzi huo, alipata kura 33,339, akimshinda mpinzani wake kutoka CHADEMA aliyepata kura 6,196.

Elimu:

Shule ya Msingi: Nhungizwa Primary School (1991-1997).

Kazi za Bunge:

Akiwa Bungeni, Maganga ametoa michango 27 na ameuliza maswali 56.
Ni mjumbe wa Kamati ya Nishati na Madini.


6. MBUNGE WA NYANG’HWALE - Hussein Nassor Amar

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Amar alichaguliwa kuwa Mbunge wa Nyang'hwale mwaka 2020. Aliweza kushinda kwa kura 33,339, akimshinda mpinzani wake kutoka CHADEMA aliyepata kura 6,886.

Elimu:

Shule ya Msingi: Buzanaki Primary School (1967-1973).

Kazi za Bunge:

Akiwa Bungeni, Amar ametoa michango 36 na ameuliza maswali 113.
Amehusika kwa muda mrefu katika shughuli za CCM, akiwa mwana UVCCM mwaka 2005.

Kazi Zilizopita:

2004-2010:
Managing Director wa Nyamigogo Motorcycle Port.
2010-2015: Managing Director wa Nyamigogo Grand Limited.
 
Wakuu,

1. MBUNGE WA BUKOMBE - Dotto Biteko

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Alichaguliwa kuwa Mbunge wa Bukombe mkoani Geita mwaka 2015 na alishinda kwa kura 71,640 dhidi ya 11,433 za mpinzani wake.

Wadhifa wa Kiserikali: Aliteuliwa kuwa Waziri wa Madini mwaka 2019 na alihudumu hadi 2023, alipochaguliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.

Elimu:

Shule ya Msingi: Nyaruyeye (1994)
Sekondari: Sengerema (1998), Butimba Technical (2005)
Ualimu: Katoke Teachers College (2001), Butimba Teachers College (2004), Morogoro Teachers College (2007)
Shahada: St. Augustine University of Tanzania (2010)
Masters (2013), Renmin University, China (2013).

Kazi za Nje ya Siasa: Alishawahi kuwa mwalimu na Mwenyekiti wa Chama cha Waalimu Tanzania (TTU), Geita.



2. MBUNGE WA BUSANDA - Tumaini Bryceson Magessa

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Alishinda kiti cha Busanda kwa kura 50,412 dhidi ya 11,635 za mpinzani wake mwaka 2020.

Elimu:

Shule ya Msingi: Nyakagomba (1979)
Sekondari: Mazengo (1983)

Elimu ya Ufundi: Full Technician Certificate, Dar Technology College (1987), Advanced Diploma in Electronic Engineering, DIT (2002)

Shahada: Postgraduate Diploma na Masters katika Electronics Engineering, University of Dar es Salaam (2004-2009).

Kazi za Nje ya Siasa: Mhandisi wa Umeme na Mwalimu, Assistant Lecturer DIT (2009-2015), Mkuu wa Wilaya ya Kiteto (2016-2020).

Shughuli Bungeni: Mjumbe wa Kamati ya Kilimo, Ufugaji, na Maji, ameuliza maswali 44 na kutoa michango 35.


3. MBUNGE WA CHATO - Medard Matogolo Kalemani

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Medard Kalemani alichaguliwa kuwa Mbunge wa Chato mwaka 2015 na alishinda kwa kura 13,599 dhidi ya 7,473 za mgombea wa CHADEMA, Masai Lucas.

Wadhifa wa Kiserikali: Alihudumu kama Waziri wa Nishati kuanzia mwaka 2017 hadi 2021, ambapo alijitolea kuleta mabadiliko katika sekta ya nishati nchini Tanzania.

Elimu:

Shule ya Msingi na Sekondari: Alisoma katika shule za msingi na sekondari nchini Tanzania.
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM): Shahada ya Sheria (1996).
Shahada ya Uzamili ya Sheria: Alipata kutoka Chuo Kikuu cha Dundee, Scotland mwaka 2002.

PhD: Alipata kutoka Chuo Kikuu cha Bedford, Uingereza, lakini maelezo zaidi kuhusu mwaka wa kutunukiwa PhD hayaelezwi wazi.

Kazi za awali:

1997-1998: Meneja wa Kisheria, Shirika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi (IRC).
1999-2006: Afisa wa Kisheria katika Wizara ya Nishati na Madini.
2007-2013: Mwanasheria Mkuu wa Millenium Challenge Account Tanzania.
2013-2015: Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Kisheria, Wizara ya Nishati na Madini.
2015: Aliingia bungeni na kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Madini na Nishati kabla ya kuchaguliwa kuwa Waziri wa Nishati mwaka 2017.


4. MBUNGE WA GEITA MJINI - Constantine John Kanyasu

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Kanyasu alichaguliwa kuwa Mbunge wa Geita Mjini mwaka 2015. Katika uchaguzi wa mwaka 2020, alishinda kwa kura 31,510, akimshinda mpinzani wake kutoka CHADEMA aliyepata kura 17,272.

Elimu:

Shule ya Msingi: Nzera Primary School (1979-1984), alihitimu CPEE.
Shule ya Sekondari: Geita Secondary School (1986-1989), alihitimu CSEE.
Mafunzo ya Ufundi: Mbegani Fisheries Development College (1990-1992), alihitimu Cheti.
Shahada: Bachelor of Commerce (Accounting) kutoka Open University of Tanzania (2003-2006).
Uzamili: MBA-Finance kutoka St. Augustine University of Tanzania (2007-2009).
Postgraduate Diploma: Aalto University, Finland (2019).

Kazi za awali na Kuingia Kwenye Siasa:

2018:
Aliteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Naibu Waziri Mkuu wa Rasilimali Asili na Utalii.


5. MBUNGE WA MBOGWE - Nicodemus Henry Maganga

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Maganga alichaguliwa kuwa Mbunge wa Mbogwe mwaka 2020. Katika uchaguzi huo, alipata kura 33,339, akimshinda mpinzani wake kutoka CHADEMA aliyepata kura 6,196.

Elimu:

Shule ya Msingi: Nhungizwa Primary School (1991-1997).

Kazi za Bunge:

Akiwa Bungeni, Maganga ametoa michango 27 na ameuliza maswali 56.
Ni mjumbe wa Kamati ya Nishati na Madini.


6. MBUNGE WA NYANG’HWALE - Hussein Nassor Amar

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Amar alichaguliwa kuwa Mbunge wa Nyang'hwale mwaka 2020. Aliweza kushinda kwa kura 33,339, akimshinda mpinzani wake kutoka CHADEMA aliyepata kura 6,886.

Elimu:

Shule ya Msingi: Buzanaki Primary School (1967-1973).

Kazi za Bunge:

Akiwa Bungeni, Amar ametoa michango 36 na ameuliza maswali 113.
Amehusika kwa muda mrefu katika shughuli za CCM, akiwa mwana UVCCM mwaka 2005.

Kazi Zilizopita:

2004-2010:
Managing Director wa Nyamigogo Motorcycle Port.
2010-2015: Managing Director wa Nyamigogo Grand Limited.
Kumbe mwanawasu "magessa" alikuwa lecturer!.
Good threads.
Congrats
 
Nimejikuta namtafuta mkoa wa Mwanza baada ya kumkosa mkoa wa Geita, tusogezeeni cv yake Msukuma
 
Wakuu,

1. MBUNGE WA BUKOMBE - Dotto Biteko

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Alichaguliwa kuwa Mbunge wa Bukombe mkoani Geita mwaka 2015 na alishinda kwa kura 71,640 dhidi ya 11,433 za mpinzani wake.

Wadhifa wa Kiserikali: Aliteuliwa kuwa Waziri wa Madini mwaka 2019 na alihudumu hadi 2023, alipochaguliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.

Elimu:

Shule ya Msingi: Nyaruyeye (1994)
Sekondari: Sengerema (1998), Butimba Technical (2005)
Ualimu: Katoke Teachers College (2001), Butimba Teachers College (2004), Morogoro Teachers College (2007)
Shahada: St. Augustine University of Tanzania (2010)
Masters (2013), Renmin University, China (2013).

Kazi za Nje ya Siasa: Alishawahi kuwa mwalimu na Mwenyekiti wa Chama cha Waalimu Tanzania (TTU), Geita.



2. MBUNGE WA BUSANDA - Tumaini Bryceson Magessa

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Alishinda kiti cha Busanda kwa kura 50,412 dhidi ya 11,635 za mpinzani wake mwaka 2020.

Elimu:

Shule ya Msingi: Nyakagomba (1979)
Sekondari: Mazengo (1983)

Elimu ya Ufundi: Full Technician Certificate, Dar Technology College (1987), Advanced Diploma in Electronic Engineering, DIT (2002)

Shahada: Postgraduate Diploma na Masters katika Electronics Engineering, University of Dar es Salaam (2004-2009).

Kazi za Nje ya Siasa: Mhandisi wa Umeme na Mwalimu, Assistant Lecturer DIT (2009-2015), Mkuu wa Wilaya ya Kiteto (2016-2020).

Shughuli Bungeni: Mjumbe wa Kamati ya Kilimo, Ufugaji, na Maji, ameuliza maswali 44 na kutoa michango 35.


3. MBUNGE WA CHATO - Medard Matogolo Kalemani

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Medard Kalemani alichaguliwa kuwa Mbunge wa Chato mwaka 2015 na alishinda kwa kura 13,599 dhidi ya 7,473 za mgombea wa CHADEMA, Masai Lucas.

Wadhifa wa Kiserikali: Alihudumu kama Waziri wa Nishati kuanzia mwaka 2017 hadi 2021, ambapo alijitolea kuleta mabadiliko katika sekta ya nishati nchini Tanzania.

Elimu:

Shule ya Msingi na Sekondari: Alisoma katika shule za msingi na sekondari nchini Tanzania.
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM): Shahada ya Sheria (1996).
Shahada ya Uzamili ya Sheria: Alipata kutoka Chuo Kikuu cha Dundee, Scotland mwaka 2002.

PhD: Alipata kutoka Chuo Kikuu cha Bedford, Uingereza, lakini maelezo zaidi kuhusu mwaka wa kutunukiwa PhD hayaelezwi wazi.

Kazi za awali:

1997-1998: Meneja wa Kisheria, Shirika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi (IRC).
1999-2006: Afisa wa Kisheria katika Wizara ya Nishati na Madini.
2007-2013: Mwanasheria Mkuu wa Millenium Challenge Account Tanzania.
2013-2015: Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Kisheria, Wizara ya Nishati na Madini.
2015: Aliingia bungeni na kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Madini na Nishati kabla ya kuchaguliwa kuwa Waziri wa Nishati mwaka 2017.


4. MBUNGE WA GEITA MJINI - Constantine John Kanyasu

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Kanyasu alichaguliwa kuwa Mbunge wa Geita Mjini mwaka 2015. Katika uchaguzi wa mwaka 2020, alishinda kwa kura 31,510, akimshinda mpinzani wake kutoka CHADEMA aliyepata kura 17,272.

Elimu:

Shule ya Msingi: Nzera Primary School (1979-1984), alihitimu CPEE.
Shule ya Sekondari: Geita Secondary School (1986-1989), alihitimu CSEE.
Mafunzo ya Ufundi: Mbegani Fisheries Development College (1990-1992), alihitimu Cheti.
Shahada: Bachelor of Commerce (Accounting) kutoka Open University of Tanzania (2003-2006).
Uzamili: MBA-Finance kutoka St. Augustine University of Tanzania (2007-2009).
Postgraduate Diploma: Aalto University, Finland (2019).

Kazi za awali na Kuingia Kwenye Siasa:

2018:
Aliteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Naibu Waziri Mkuu wa Rasilimali Asili na Utalii.


5. MBUNGE WA MBOGWE - Nicodemus Henry Maganga

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Maganga alichaguliwa kuwa Mbunge wa Mbogwe mwaka 2020. Katika uchaguzi huo, alipata kura 33,339, akimshinda mpinzani wake kutoka CHADEMA aliyepata kura 6,196.

Elimu:

Shule ya Msingi: Nhungizwa Primary School (1991-1997).

Kazi za Bunge:

Akiwa Bungeni, Maganga ametoa michango 27 na ameuliza maswali 56.
Ni mjumbe wa Kamati ya Nishati na Madini.


6. MBUNGE WA NYANG’HWALE - Hussein Nassor Amar

Chama: Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ubunge: Amar alichaguliwa kuwa Mbunge wa Nyang'hwale mwaka 2020. Aliweza kushinda kwa kura 33,339, akimshinda mpinzani wake kutoka CHADEMA aliyepata kura 6,886.

Elimu:

Shule ya Msingi: Buzanaki Primary School (1967-1973).

Kazi za Bunge:

Akiwa Bungeni, Amar ametoa michango 36 na ameuliza maswali 113.
Amehusika kwa muda mrefu katika shughuli za CCM, akiwa mwana UVCCM mwaka 2005.

Kazi Zilizopita:

2004-2010:
Managing Director wa Nyamigogo Motorcycle Port.
2010-2015: Managing Director wa Nyamigogo Grand Limited.
MSUKUMA ni Mbunge wa jimbo gani!?
 
Wale wa Kawe mmeshaenda Birmingham au mchawi COVID?
 

6. MBUNGE WA NYANG’HWALE - Hussein Nassor Amar


Elimu:

Shule ya Msingi: Buzanaki Primary School (1967-1973).

Amehusika kwa muda mrefu katika shughuli za CCM, akiwa mwana UVCCM mwaka 2005.
Sijaelewa kabisa hapa, yaani mtu aliyezaliwa si zaidi ya mwaka 1960 yupo uvccm 2005 (not less than 45)!?
 
Back
Top Bottom