njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Karibuni sana wachimba madini, team letu ni la kisasa na la kizungu halina mambo ya kizamani yale ya kiswahili eti kufanya mazoezi kwa kjifichaficha
Karibuni sana Mo arena kuanzia kesho jumatatu tunarudi pale baada ya jana kuendeleza uteja kwa utopolo fc
Hata mkirekodi kwenye simu au kuja na ile miwani ya ki spy na kurekodi hakuna shida,sisi ndo simba tunaenda kizungu sana
George Mpole ushindwe mwenyewe sasa kucheza na akili ya Inonga , we kuwa serious sababu yeye atakuwa kwenye show ya bongo fleva
Jumatatu na jumanne karibuni sana mazoezi ya wazi kabla ya hiyo mechi ya jumatano
Karibuni sana Mo arena kuanzia kesho jumatatu tunarudi pale baada ya jana kuendeleza uteja kwa utopolo fc
Hata mkirekodi kwenye simu au kuja na ile miwani ya ki spy na kurekodi hakuna shida,sisi ndo simba tunaenda kizungu sana
George Mpole ushindwe mwenyewe sasa kucheza na akili ya Inonga , we kuwa serious sababu yeye atakuwa kwenye show ya bongo fleva
Jumatatu na jumanne karibuni sana mazoezi ya wazi kabla ya hiyo mechi ya jumatano