Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Na nyie kajipangeni barabarani mnunuliweHii imejidhihirisha katika mechi iliyoanza hivi punde.
Zile tetesi zimejidhihirisha Leo kwamba utopolo fc imenunua mechi.
Mpira hauna ladha kabisa, mtawafanya mashabiki kutoingia uwanjani mechi zenu.
Utopolo hoyeee!!!
mwanzoni walisema yanga leo hawatoki.. na blah blah kibao, sasa hivi mnasema imenunua match.. kwani siku hizi simba haina hela
Labda za mikia yenu,sisi tunaingia kuona mitetemo ya MayeleHii imejidhihirisha katika mechi iliyoanza hivi punde.
Zile tetesi zimejidhihirisha Leo kwamba utopolo fc imenunua mechi.
Mpira hauna ladha kabisa, mtawafanya mashabiki kutoingia uwanjani mechi zenu.
Utopolo hoyeee!!!