Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) Mkoa wa Geita imewafikia Wananchi 161,154 ambapo kati ya hao wanaume ni 80,810 na wanawake ni 80,344.
Kampeni hii inatoa msaada wa kisheria BURE huku elimu ya sheria imetolewa kwenye maswala ya ardhi,ndoa, mirathi, na wosia, ukatili wa kijinsia na haki za mtoto imetolewa.
Lengo la kampeni hii ni kulinda na kukuza upatikanaji wa haki kwa wote kupitia huduma ya msaada wa kisheria nchini.
Pia soma:
Kampeni hii inatoa msaada wa kisheria BURE huku elimu ya sheria imetolewa kwenye maswala ya ardhi,ndoa, mirathi, na wosia, ukatili wa kijinsia na haki za mtoto imetolewa.
Lengo la kampeni hii ni kulinda na kukuza upatikanaji wa haki kwa wote kupitia huduma ya msaada wa kisheria nchini.
Pia soma:
- Uzinduzi wa Mama Samia Legal Aid Campaign
- Uzinduzi wa Mama Samia Legal Aid Campaign - Sheria ya Ardhi ni ya Mwaka 1999 na Sio 1995
- Kampeni ya Samia Legal Aid imefika Mpanda mkoani Rukwa
- Kilimanjaro: Waziri Ndumbaro aja na 'Gusa, Achia Twende na Samia Legal Aid' pamoja na 'Ubaya Ubwela' kwa wanaokiuka sheria!
- Kilimanjaro: Katibu Mkuu Wizara ya Sheria na Katiba: Samia Legal Aid ni maalum kwa ajili ya wananchi wanyonge
- Programu ya Mama Samia Legal Aid yatua kwenye makanisa ya Mtwara
- Wananchi 495,552 wamenufaika na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Legal Aid inayoratibiwa na serikali kupitia Wizara ya Katiba na Sheria
- DC Ileje: Kampeni ya Samia Legal Aid imeonesha umuhimu wa kuwafikia Wananchi wasioweza kumudu gharama za Mawakili
- Mwakubusi auliza "Waliodhihaki kuhusu Samia Legal aid vipi leo wamesema chochote kuhusu TBC Live ?
- Boniphace Mwabukusi: TLS kushirikiana na Serikali kampeni ya kutoa huduma za kisheria ya Mama Samia Legal Aid
- Naomba kujua hii 'Samia Legal Aid Campaign' ni kiashirio kwa ameshaanza Kampeni? na je, itakuwepo na baada ya Uchaguzi Mkuu ujao?
- Wizara ya Katiba na Sheria yazindua "Mama Samia Legal Aid Campaign" mkoani Iringa. Nchi yetu inaenda wapi?
- Uzinduzi wa Mama Samia Legal Aid Kampeni - Singida Januari 10, 2024
- Waziri Dkt. Ndumbaro - Zaidi ya Wananchi 250,000 Wamefikiwa na Mama Samia Legal Aid Campaign