Geita: Kijana akamatwa na shahada 37 za kupigia kura

Geita: Kijana akamatwa na shahada 37 za kupigia kura

Twilumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2010
Posts
12,576
Reaction score
14,522
Kijana mmoja mkoani Geita amekamatwa na wananchi akiwa na shahada 37 za kupigia kura alizokuwa akidurufu katika Stationery yake.

Haijafahamika mara moja lengo la kijana huyo lkn kamanda wa polisi mkoni humo amethibitisha na kuwa jeshi hilo linamshikiria mtuhumiwa kwa upelelezi zaidi.

Kwa mujibu wa kamanda wa polisi huyo amesema kuna watu wamekuwa wakipita katika nyumba mbalimbali na kunakiri namba za shahada za wapiga kura hasa wanawake mkoani humo.

Chanzo: Radio free Matukio saa 1 Asbh. Tarehe 30.07.2015
 
Aisee, Wengi wanajiandikisha ili wakodishe vitambulisho vyao kwa Wanunua Uongozi
 
Umaskini wetu ndo mtajibwa ushindi,
Elimu ya dhati inatakiwa!

Sio Umaskini ni ujinga, tamaa na kupenda vya Dezo, kwan Pemba hakuna Maskini, tembelea au uliza aliewahi kufika Pemba akujuze umaskini uliokithiri kule lakini CCM ilishanyoosha Mikono tangu 1985 Idrissa Abdul wakili aligombea Urais enzi za Chama kimoja lakini kura za Hapana zilikuwa 86 % na watu walijitolea kuwa mawakala wa Kura za Hapana.
 
Maandalizi ya goli la mkono.
Kuweni macho kutakuwa na njia nyingi za mpira kuingia nyavuni.
Ila hili la goli la mkono msilikubali kabisa.
 
Eheee ndio!

kitambulisho cha mpiga kura SIYO shahada



shahada[SUP]1[/SUP]* nm [i-/zi-]degree. (Kar)
shahada[SUP]2[/SUP]* nm Moslem creed, confession of faith: Kidole cha ~ forefinger; Maji ya ~ (a) water used ceremonially at a funeral; (b) water to wash the dead; Kupiga ~ to recite the Moslem creed. (Kar)
 
Historia iko wazi nyie ndo wa kwanza kukimbia rejea mwaka 2010 wakati NEC inatangaza matokeo ya urais Karimjee mkiongozwa na Katibu mkuu wenu mlikimbia!

Najua kwasababu mshazoea magoli ya mkono ndo maana michezo hiyo sie hatuichezagi
 
Back
Top Bottom