Geita: Maduka ya Wafanyabiashara yapatayo 16 yateketea kwa moto. Waokoaji wadaiwa kukimbia na mali za wenye maduka

Geita: Maduka ya Wafanyabiashara yapatayo 16 yateketea kwa moto. Waokoaji wadaiwa kukimbia na mali za wenye maduka

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1643360611297.png

Picha: Sehemu ya maduka iliyoathirika

Maduka 16 ya wafanyabishara wa soko la CCM kakubilo lililopo katika Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani Geita yameungua kwa moto juzi usiku kuamkia jana na kuteketea kabisa.

Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ikiongozwa na Mkuu wa wilaya ya Geita, Wilson Shimo imefika katika eneo hilo na kujionea hali halisi huku maduka 16 yakiwa yameungua na baadhi ya vitu kuibiwa baada ya moto huo kutokea na chanzo chake bado hakijajulikana.

Aidha Shimo ameliagiza Jeshi la polisi kwa kushirikiana na uongozi wa soko hilo pamoja na viongozi wa kata kuhakikisha wanashirikiana kuwasaka wote waliokwenda kutoa msaada na kuiba mali ambazo zilikuwa hazijateketea kuondoka nazo kusiko julikana.

Chanzo: Star TV
 
View attachment 2098275
Picha: Sehemu ya maduka iliyoathirika

Maduka 16 ya wafanyabishara wa soko la CCM kakubilo lililopo katika Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani Geita yameungua kwa moto juzi usiku kuamkia jana na kuteketea kabisa.

Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ikiongozwa na Mkuu wa wilaya ya Geita, Wilson Shimo imefika katika eneo hilo na kujionea hali halisi huku maduka 16 yakiwa yameungua na baadhi ya vitu kuibiwa baada ya moto huo kutokea na chanzo chake bado hakijajulikana.

Aidha Shimo ameliagiza Jeshi la polisi kwa kushirikiana na uongozi wa soko hilo pamoja na viongozi wa kata kuhakikisha wanashirikiana kuwasaka wote waliokwenda kutoa msaada na kuiba mali ambazo zilikuwa hazijateketea kuondoka nazo kusiko julikana.

Chanzo: Star TV
Mateja waliwasha mshumaa.
 
waeza uziwa vitu mtaaani kwa bei poa ukajua umewini kumbe jamaa wameviiba ...... ukamatwapo ndipo unaanza lia machozi
 
Maduka 16 kati ya maduka 250 ya wafanyabiashara katika kata ya Kakubilo wilayani Geita na mkoani Geita kwenye soko la CCM yameteketea kwa moto.

Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana.
 
"Waokoaji wakimbia na mali za wenye maduka "

Duh waokoaji wamejiongeza

Ova
 
Back
Top Bottom