Geita: Mkoa "tajiiri" usiokuwa tajiri

Geita: Mkoa "tajiiri" usiokuwa tajiri

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Sipajui sana Geita, lakini napafahamu, alau kidogo. Habari zake zimevuma ndani na nje ya Tanzania, hasa kwa shughuli za "uvunaji" dhahabu!

Hivi karibuni, nimesimuliwa kuwa baada ya Mzungu mmoja huko ughaibuni kukutana na dhahabu iliyodaiwa kuwa ilichimbwa na kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), iliyopo Geita, aliamua kufungua safari hadi Geita nchini Tanzania. Alitaka kwenda kujionea ustawi wa mji ulikotoka hiyo dhahabu! Alichokiona ni tofauti na alichokitarajia.

Kwa "madhahabu" yanayozalishwa Geita, alitarajia kukuta maskycraper ya maana, kumbe hakukuwepo hata na ghorofa lenye lifti.

Alitarajia kukuta maflyover mengi, lakini kumbe hata barabara zenye lami ni chache mno.

Alitegemea kukuta mji uliojengwa ukajengeka, matokeo yake alikuta kuna mpaka nyumba za nyasi.

Alifikiri, kama vile Almasi ilivyosaidia kuijenga Afrika Kusini, na dhahabu nayo itakuwa imeisaidia Geita kuwa jiji la kipekee sana.

Geita ina "madhahabu" mengi mno. Ni kati ya mikoa ambayo machimbo ya dhahabu yanaendelea kuibuliwa na raia wa kawaida. Si mara moja wala mbili, mtu amebadili "plan" ya kuchimba shimo la choo baada ya kukutana na mwamba wenye dhahabu, na kupelekea shimo lililokusudiwa kuwa la choo kugeuka kuwa mgodi wa dhahabu.

Takwimu za mwaka 2020 zinaonesha kuwa Geita, mkoa "mtajiri" wa dhahabu, unazidiwa na mkoa wa Lindi kwa utajiri. Sijui hilo limekaaje! Labda Wachumi watanisaidi.

Geita, mkoa "mtajiri" kiasi hicho, unakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Geita, mkoa "mtajiri" wa dhahabu, unapitwaje kwa utajiri na mkoa wa Iringa ambao Mhe. Dr. J. K. Msukuma aliuita ni mkoa wa walima nyanya?

"Nimepita" Iringa, na nimekaa kwa muda mkoani Geita. Naam, hata sasa ninapouandika huu uzi, nipo Mkoani Geita. Kwa mwonekano tu, Iringa panaonekana pameendelea sana ukipalinganisha na Geita.

Kwa nini Geita mkoa "mtajiri" siyo tajiri?
 
Sipajui sana Geita, lakini napafahamu, alau kidogo. Habari zake zimevuma ndani na nje ya Tanzania, hasa kwa shughuli za "uvunaji" dhahabu!

Hivi karibuni, nimesimuliwa kuwa baada ya Mzungu mmoja huko ughaibuni kukutana na dhahabu iliyodaiwa kuwa ilichimbwa na kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), iliyopo Geita, aliamua kufungua safari hadi Geita nchini Tanzania. Alitaka kwenda kujionea ustawi wa mji ulikotoka hiyo dhahabu! Alichokiona ni tofauti na alichokitarajia.

Kwa "madhahabu" yanayozalishwa Geita, alitarajia kukuta maskycraper ya maana, kumbe hakukuwepo hata na ghorofa lenye lifti.

Alitarajia kukuta maflyover mengi, lakini kumbe hata barabara zenye lami ni chache mno.

Alitegemea kukuta mji uliojengwa ukajengeka, matokeo yake alikuta kuna mpaka nyumba za nyasi.

Alifikiri, kama vile Almasi ilivyosaidia kuijenga Afrika Kusini, na dhahabu nayo itakuwa imeisaidia Geita kuwa jiji la kipekee sana.

Geita ina "madhahabu" mengi mno. Ni kati ya mikoa ambayo machimbo ya dhahabu yanaendelea kuibuliwa na raia wa kawaida. Si mara moja wala mbili, mtu amebadili "plan" ya kuchimba shimo la choo baada ya kukutana na mwamba wenye dhahabu, na kupelekea shimo lililokusudiwa kuwa la choo kugeuka kuwa mgodi wa dhahabu.

Takwimu za mwaka 2020 zinaonesha kuwa Geita, mkoa "mtajiri" wa dhahabu, unazidiwa na mkoa wa Lindi kwa utajiri. Sijui hilo limekaaje! Labda Wachumi watanisaidi.

Geita, mkoa "mtajiri" kiasi hicho, unakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Geita, mkoa "mtajiri" wa dhahabu, unapitwaje kwa utajiri na mkoa wa Iringa ambao Mhe. Dr. J. K. Msukuma aliuita ni mkoa wa walima nyanya?

"Nimepita" Iringa, na nimekaa kwa muda mkoani Geita. Naam, hata sasa ninapouandika huu uzi, nipo Mkoani Geita. Kwa mwonekano tu, Iringa panaonekana pameendelea sana ukipalinganisha na Geita.

Kwa nini Geita mkoa "mtajiri" siyo tajiri?
Si dhahabu tu, Geita inamisitu ya asili mikubwa na yakupendeza ukifika utadhani huko Amazoni, Geita kuna ziwa na mbuga nyenye madhari nzuri kisiwani.

Geita ina ardhi nzuri yenye rutuba inafaa kwa kilimo. Geita inamifugo ng'ombe wakubwa Nyankole. Lakini ni mkoa ulio masikini wa kutupwa!

Mara ya kwanza kufika Geita nilishuhudia wananchi wakiokota dhahabu katika barabara iliyokuwa inatengenezwa. Wao uita vikole! Mji wa Geita unaelea katika dhahabu wazungu wanabeba fedha acha.

Nimeingia hadi chumba cha dhahabu kunakozalishwa inachomwa na kupakiwa(GGM)Geita huko hata mtu wa Tume ya madini haruhusiwi kuingia yeye upewa tu taarifa. Nikajiuliza nini maana ya kuundwa kwa hii tume.

Jibu watanzania CCM imeishiwa maono, wanafanya kazi kwa mazoea fikra zimeishia kula fedha na kufanya madili.

Geita mwananchi akivumbua dhahabu ufukuzwa na kuwekwa mwekezaji ambae alipi chochote kwa serikali. Kuna kampuni geita ilikaa mika karibu therathini ikijibadili jina na kudai kufanya utafiti wa madini huku wakichimba na kuondoka nayo. Walichukua maeneo makubwa saana.
 
Sipajui sana Geita, lakini napafahamu, alau kidogo. Habari zake zimevuma ndani na nje ya Tanzania, hasa kwa shughuli za "uvunaji" dhahabu!

Hivi karibuni, nimesimuliwa kuwa baada ya Mzungu mmoja huko ughaibuni kukutana na dhahabu iliyodaiwa kuwa ilichimbwa na kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), iliyopo Geita, aliamua kufungua safari hadi Geita nchini Tanzania. Alitaka kwenda kujionea ustawi wa mji ulikotoka hiyo dhahabu! Alichokiona ni tofauti na alichokitarajia.

Kwa "madhahabu" yanayozalishwa Geita, alitarajia kukuta maskycraper ya maana, kumbe hakukuwepo hata na ghorofa lenye lifti.

Alitarajia kukuta maflyover mengi, lakini kumbe hata barabara zenye lami ni chache mno.

Alitegemea kukuta mji uliojengwa ukajengeka, matokeo yake alikuta kuna mpaka nyumba za nyasi.

Alifikiri, kama vile Almasi ilivyosaidia kuijenga Afrika Kusini, na dhahabu nayo itakuwa imeisaidia Geita kuwa jiji la kipekee sana.

Geita ina "madhahabu" mengi mno. Ni kati ya mikoa ambayo machimbo ya dhahabu yanaendelea kuibuliwa na raia wa kawaida. Si mara moja wala mbili, mtu amebadili "plan" ya kuchimba shimo la choo baada ya kukutana na mwamba wenye dhahabu, na kupelekea shimo lililokusudiwa kuwa la choo kugeuka kuwa mgodi wa dhahabu.

Takwimu za mwaka 2020 zinaonesha kuwa Geita, mkoa "mtajiri" wa dhahabu, unazidiwa na mkoa wa Lindi kwa utajiri. Sijui hilo limekaaje! Labda Wachumi watanisaidi.

Geita, mkoa "mtajiri" kiasi hicho, unakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Geita, mkoa "mtajiri" wa dhahabu, unapitwaje kwa utajiri na mkoa wa Iringa ambao Mhe. Dr. J. K. Msukuma aliuita ni mkoa wa walima nyanya?

"Nimepita" Iringa, na nimekaa kwa muda mkoani Geita. Naam, hata sasa ninapouandika huu uzi, nipo Mkoani Geita. Kwa mwonekano tu, Iringa panaonekana pameendelea sana ukipalinganisha na Geita.

Kwa nini Geita mkoa "mtajiri" siyo tajiri?
Dhahabu sio neccesity goods,shida wanasiasa hawaambiagi ukweli,
 
Si dhahabu tu, Geita inamisitu ya asili mikubwa na yakupendeza ukifika utadhani huko Amazoni, Geita kuna ziwa na mbuga nyenye madhari nzuri kisiwani.

Geita ina ardhi nzuri yenye rutuba inafaa kwa kilimo. Geita inamifugo ng'ombe wakubwa Nyankole. Lakini ni mkoa ulio masikini wa kutupwa!

Mara ya kwanza kufika Geita nilishuhudia wananchi wakiokota dhahabu katika barabara iliyokuwa inatengenezwa. Wao uita vikole! Mji wa Geita unaelea katika dhahabu wazungu wanabeba fedha acha.

Nimeingia hadi chumba cha dhahabu kunakozalishwa inachomwa na kupakiwa(GGM)Geita huko hata mtu wa Tume ya madini haruhusiwi kuingia yeye upewa tu taarifa. Nikajiuliza nini maana ya kuundwa kwa hii tume.

Jibu watanzania CCM imeishiwa maono, wanafanya kazi kwa mazoea fikra zimeishia kula fedha na kufanya madili.

Geita mwananchi akivumbua dhahabu ufukuzwa na kuwekwa mwekezaji ambae alipi chochote kwa serikali. Kuna kampuni geita ilikaa mika karibu therathini ikijibadili jina na kudai kufanya utafiti wa madini huku wakichimba na kuondoka nayo. Walichukua maeneo makubwa saana.
Dhahabu ina pesa sana. Fuatilia mishahara ya wafanyakazi wa kwenye makampuni makubwa ya dhahabu ndiyo utajua! Fuatilia hata wanavyohudumiwa na utabaini kuwa dhahabu ni utajiri!

Mtu mmoja anayefanya kazi kwenye moja ya makampuni makubwa ya dhahabu Geita, alinidokezea jinsi mishahara yao ilivyo "minono"

Kwa mfano, kuna wakati walimfanyia interview mtu mmoja na baada ya kufaulu, alipoulizwa mshahara anaoutaka alipwe, alisema shilingi milioni kumi na tano.

Alivyokuwa ananieleza, alionekana kumsikitikia kwamba kataja kiwango kidogo sana, kisichoendana na Elimu yake. Aliniambia kuwa alipanga akaongee na mwenzake ili alau mshahara wa huyo mwajiriwa mpya uongezwe uweze kuendana na taaluma yake.

Ikiwa mishahara ni minono kiasi hicho, makampuni ya dhahabu yanaingiza fedha nyingi kiasi gani?

Kama mfanya usafi tu analipwa laki sita( kipindi hicho), na bado inaonekana ni mshahara mdogo, hiyo kampuni inaingiza mapesa mangapi?

Watu waache masihara! Dhahabu ina hela sana. Na kwa jinsi dhahabu ilivyotapakaa Geita, ilistahili kuwa tajiri mno.

Fikiria tu, kwa mfano, Geita ingekuwa sehemu ya Jamhuri ya Rwanda, ingekuwa kama ilivyo leo?
 
Dhahabu sio neccesity goods,shida wanasiasa hawaambiagi ukweli,
Necessity goods ni zipi mkuu? Waarabu wapo jangwani, lakini kwa kutumia mafuta, wamejitosheleza kwa kila kitu.

Na Geita, mbali na utajiri tele wa dhahabu, wana ardhi yenye rutuba, mifugo mingi, na imepakana na Ziwa kubwa barani Afrika.

Geita, kwa utajiri mkubwa uliobarikiwa kuwa nao, ulistahili kuwa wa kipekee sana kimaendeleo.
 
Utajiri halisi ni maarifa sio madini..
Ndo maana Japan matajiri kutuzidi...
Tungeweka sheria ya asilimia 25 ya pesa za madini irudi mkoa husika...halafu waiweke kwenye elimu
Chuo cha madini waanzishe na pesa ingine wapeleke watoto wa Geita nje ya nchi wasome investment, international finance etc...

Wenzetu washaacha kabisa kuuza Dhahabu na kupata pesa
Wanauza hisa za kampuni inayochimba Dhahabu...hisa ndo utajiri kuliko Dhahabu yenyewe
 
Utajiri halisi ni maarifa sio madini..
Ndo maana Japan matajiri kutuzidi...
Tungeweka sheria ya asilimia 25 ya pesa za madini irudi mkoa husika...halafu waiweke kwenye elimu
Chuo cha madini waanzishe na pesa ingine wapeleke watoto wa Geita nje ya nchi wasome investment, international finance etc...

Wenzetu washaacha kabisa kuuza Dhahabu na kupata pesa
Wanauza hisa za kampuni inayochimba Dhahabu...hisa ndo utajiri kuliko Dhahabu yenyewe
Hoja murua kabisa.
 
Utajiri halisi ni maarifa sio madini..
Ndo maana Japan matajiri kutuzidi...
Tungeweka sheria ya asilimia 25 ya pesa za madini irudi mkoa husika...halafu waiweke kwenye elimu
Chuo cha madini waanzishe na pesa ingine wapeleke watoto wa Geita nje ya nchi wasome investment, international finance etc...

Wenzetu washaacha kabisa kuuza Dhahabu na kupata pesa
Wanauza hisa za kampuni inayochimba Dhahabu...hisa ndo utajiri kuliko Dhahabu yenyewe
Hoja murua kabisa.
 
Kile unachokiona Geita (nimeishi pale Nyang'hwale) ni matokeo ya mikataba mibovu iliyoingiwa na viongozi wa nchi hii na wao kwenda kujineemesha.

Yote uliyosema ni kweli ukila nanasi la geita hutakula nanasi la mahali pengine uhisi umekula nanasi
Mikataba mikataba mikataba hiki ndio nira iliyoiba na kumaliza mali za watanzania na ndoto hata ya kuwa Gaborone haipo acha Jos

Geita mkoa mzima hauna Rami kilomita 10
(Usiniambie Ile ya highway ya mwanza bukoba) hakuna maji ya uhakika
 
Unaposhangaa ya mkoa wa Geita unapaswa ushangae pia na ya mkoa wa Shinyanga wale Wana Almasi na Dhahabu pia lkn ni maskini wa kutupwa.
Mikataba mikataba mikataba shida ilianzia hapo na Sasa wananchi wale wanaonekana kuwa hawana akili huku wakila vumbi la lori za mchanga na maji ya kemikali na kulipwa fidia za hovyo tena kwa tabu na kuramba miguu ya wanasiasa
 
Si dhahabu tu, Geita inamisitu ya asili mikubwa na yakupendeza ukifika utadhani huko Amazoni, Geita kuna ziwa na mbuga nyenye madhari nzuri kisiwani.

Geita ina ardhi nzuri yenye rutuba inafaa kwa kilimo. Geita inamifugo ng'ombe wakubwa Nyankole. Lakini ni mkoa ulio masikini wa kutupwa!

Mara ya kwanza kufika Geita nilishuhudia wananchi wakiokota dhahabu katika barabara iliyokuwa inatengenezwa. Wao uita vikole! Mji wa Geita unaelea katika dhahabu wazungu wanabeba fedha acha.

Nimeingia hadi chumba cha dhahabu kunakozalishwa inachomwa na kupakiwa(GGM)Geita huko hata mtu wa Tume ya madini haruhusiwi kuingia yeye upewa tu taarifa. Nikajiuliza nini maana ya kuundwa kwa hii tume.

Jibu watanzania CCM imeishiwa maono, wanafanya kazi kwa mazoea fikra zimeishia kula fedha na kufanya madili.

Geita mwananchi akivumbua dhahabu ufukuzwa na kuwekwa mwekezaji ambae alipi chochote kwa serikali. Kuna kampuni geita ilikaa mika karibu therathini ikijibadili jina na kudai kufanya utafiti wa madini huku wakichimba na kuondoka nayo. Walichukua maeneo makubwa saana.
Ila kwa kweli....tutapigwa sana.
 
Sipajui sana Geita, lakini napafahamu, alau kidogo. Habari zake zimevuma ndani na nje ya Tanzania, hasa kwa shughuli za "uvunaji" dhahabu!

Hivi karibuni, nimesimuliwa kuwa baada ya Mzungu mmoja huko ughaibuni kukutana na dhahabu iliyodaiwa kuwa ilichimbwa na kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), iliyopo Geita, aliamua kufungua safari hadi Geita nchini Tanzania. Alitaka kwenda kujionea ustawi wa mji ulikotoka hiyo dhahabu! Alichokiona ni tofauti na alichokitarajia.

Kwa "madhahabu" yanayozalishwa Geita, alitarajia kukuta maskycraper ya maana, kumbe hakukuwepo hata na ghorofa lenye lifti.

Alitarajia kukuta maflyover mengi, lakini kumbe hata barabara zenye lami ni chache mno.

Alitegemea kukuta mji uliojengwa ukajengeka, matokeo yake alikuta kuna mpaka nyumba za nyasi.

Alifikiri, kama vile Almasi ilivyosaidia kuijenga Afrika Kusini, na dhahabu nayo itakuwa imeisaidia Geita kuwa jiji la kipekee sana.

Geita ina "madhahabu" mengi mno. Ni kati ya mikoa ambayo machimbo ya dhahabu yanaendelea kuibuliwa na raia wa kawaida. Si mara moja wala mbili, mtu amebadili "plan" ya kuchimba shimo la choo baada ya kukutana na mwamba wenye dhahabu, na kupelekea shimo lililokusudiwa kuwa la choo kugeuka kuwa mgodi wa dhahabu.

Takwimu za mwaka 2020 zinaonesha kuwa Geita, mkoa "mtajiri" wa dhahabu, unazidiwa na mkoa wa Lindi kwa utajiri. Sijui hilo limekaaje! Labda Wachumi watanisaidi.

Geita, mkoa "mtajiri" kiasi hicho, unakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Geita, mkoa "mtajiri" wa dhahabu, unapitwaje kwa utajiri na mkoa wa Iringa ambao Mhe. Dr. J. K. Msukuma aliuita ni mkoa wa walima nyanya?

"Nimepita" Iringa, na nimekaa kwa muda mkoani Geita. Naam, hata sasa ninapouandika huu uzi, nipo Mkoani Geita. Kwa mwonekano tu, Iringa panaonekana pameendelea sana ukipalinganisha na Geita.

Kwa nini Geita mkoa "mtajiri" siyo tajiri?
Tunapigwa Sana
 
Sipajui sana Geita, lakini napafahamu, alau kidogo. Habari zake zimevuma ndani na nje ya Tanzania, hasa kwa shughuli za "uvunaji" dhahabu!

Hivi karibuni, nimesimuliwa kuwa baada ya Mzungu mmoja huko ughaibuni kukutana na dhahabu iliyodaiwa kuwa ilichimbwa na kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), iliyopo Geita, aliamua kufungua safari hadi Geita nchini Tanzania. Alitaka kwenda kujionea ustawi wa mji ulikotoka hiyo dhahabu! Alichokiona ni tofauti na alichokitarajia.

Kwa "madhahabu" yanayozalishwa Geita, alitarajia kukuta maskycraper ya maana, kumbe hakukuwepo hata na ghorofa lenye lifti.

Alitarajia kukuta maflyover mengi, lakini kumbe hata barabara zenye lami ni chache mno.

Alitegemea kukuta mji uliojengwa ukajengeka, matokeo yake alikuta kuna mpaka nyumba za nyasi.

Alifikiri, kama vile Almasi ilivyosaidia kuijenga Afrika Kusini, na dhahabu nayo itakuwa imeisaidia Geita kuwa jiji la kipekee sana.

Geita ina "madhahabu" mengi mno. Ni kati ya mikoa ambayo machimbo ya dhahabu yanaendelea kuibuliwa na raia wa kawaida. Si mara moja wala mbili, mtu amebadili "plan" ya kuchimba shimo la choo baada ya kukutana na mwamba wenye dhahabu, na kupelekea shimo lililokusudiwa kuwa la choo kugeuka kuwa mgodi wa dhahabu.

Takwimu za mwaka 2020 zinaonesha kuwa Geita, mkoa "mtajiri" wa dhahabu, unazidiwa na mkoa wa Lindi kwa utajiri. Sijui hilo limekaaje! Labda Wachumi watanisaidi.

Geita, mkoa "mtajiri" kiasi hicho, unakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Geita, mkoa "mtajiri" wa dhahabu, unapitwaje kwa utajiri na mkoa wa Iringa ambao Mhe. Dr. J. K. Msukuma aliuita ni mkoa wa walima nyanya?

"Nimepita" Iringa, na nimekaa kwa muda mkoani Geita. Naam, hata sasa ninapouandika huu uzi, nipo Mkoani Geita. Kwa mwonekano tu, Iringa panaonekana pameendelea sana ukipalinganisha na Geita.

Kwa nini Geita mkoa "mtajiri" siyo tajiri?
Mkuu mikoa ya bara inasaidia kuijenga dar. Utaidharau Geita Leo lakini kutokana na mifumo yetu,kinachopatikana kinaingia serikali kuu kwenda kuijenga dar na Dodoma. Tukisema kila mkoa ujitegemee, ndani ya mwaka geita utaufuta huu Uzi.
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Back
Top Bottom