Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
"Uchaguzi huu tuufanye kwa amani na utulivu, aliyeshinda atangazwe na ambaye hajashinda asitangazwe. Niwaombe watu wote waliojiandikisha wasiache kuja kutumia haki yao ya kikatiba kuchagua kiongozi wanaemtaka ili tuweze kusukuma mbele maendeleo yetu.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tunataka Kiongozi ambaye atazungumza shida za watu, kiongozi ambae atajishughulisha na matatizo ambayo watu wanayo kwenye vitongoji vyao, tunatamani tupate Viongozi ambao kazi yao kubwa haitakua tu kupata vyeo vya kujitambulishia, iwe ni kazi ya kupata cheo kwaajili ya kufanya kazi ya Watu" Dkt. Biteko
"Uchaguzi huu tuufanye kwa amani na utulivu, aliyeshinda atangazwe na ambaye hajashinda asitangazwe. Niwaombe watu wote waliojiandikisha wasiache kuja kutumia haki yao ya kikatiba kuchagua kiongozi wanaemtaka ili tuweze kusukuma mbele maendeleo yetu.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tunataka Kiongozi ambaye atazungumza shida za watu, kiongozi ambae atajishughulisha na matatizo ambayo watu wanayo kwenye vitongoji vyao, tunatamani tupate Viongozi ambao kazi yao kubwa haitakua tu kupata vyeo vya kujitambulishia, iwe ni kazi ya kupata cheo kwaajili ya kufanya kazi ya Watu" Dkt. Biteko