ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
My Take
Na ๐น๐ฟ ilitakiwa kusema hakuna Mpinzani Atakuwa Rais bila kupepesa macho.๐๐
Mkuu wa Jeshi la Uganda, ambaye pia ni mtoto wa kiume wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amesema hakuna raia atakayeiongoza Uganda kwakuwa hilo ni jukumu la wanajeshi au polisi wa nchi hiyo.
Muhoozi, ambaye amesema hatagombea urais katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2026, ameandika ujumbe huo kwenye mtandao wa X kwamba wanajeshi hawataruhusu raia kuongoza Uganda.
โHakuna raia ataongoza Uganda baada ya Rais Yoweri Museveni. Maafisa wa usalama hawataruhusu hilo kutokea. Rais ajaye atakuwa mwanajeshi au afisa wa polisi,โ ameandika Muhoozi.
Na ๐น๐ฟ ilitakiwa kusema hakuna Mpinzani Atakuwa Rais bila kupepesa macho.๐๐
Mkuu wa Jeshi la Uganda, ambaye pia ni mtoto wa kiume wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amesema hakuna raia atakayeiongoza Uganda kwakuwa hilo ni jukumu la wanajeshi au polisi wa nchi hiyo.
Muhoozi, ambaye amesema hatagombea urais katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2026, ameandika ujumbe huo kwenye mtandao wa X kwamba wanajeshi hawataruhusu raia kuongoza Uganda.
โHakuna raia ataongoza Uganda baada ya Rais Yoweri Museveni. Maafisa wa usalama hawataruhusu hilo kutokea. Rais ajaye atakuwa mwanajeshi au afisa wa polisi,โ ameandika Muhoozi.