Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
They have the Numbers.....; Ukichukulia generations tofauti na kuziweka katika miaka waliyozaliwa utapata generations zifuatazo
Anyway ndio maana kuna siku niliuliza....
www.jamiiforums.com
Sababu kwa macho yangu maybe sio hii generation ila generation inayokuja itakuwa haina ajira zenye ujira wa uhakika wala pension za kuwasaidia uzeeni na hapo usishangae wakija kuchukua chako.....
Kwahio for all our sakes politicians needs to not only listen but to act....
- The Greatest Generation – born 1901-1927. ...
- The Silent Generation – born 1928-1945. ...
- The Baby Boomer Generation – born 1946-1964. ...
- Generation X – born 1965-1980. ...
- Millennials – born 1981-1996. ...
- Generation Z – born 1996-2012. ...
- Gen Alpha – born 2013 – 2025.
Anyway ndio maana kuna siku niliuliza....
Je, Ajira sio Agenda tena?
Hapa nataka kuwauliza watunga Sera na Vyama vya Siasa..., ila kabla ya yote kwanza ninanukuu Babu wa Chama Tawala cha Sasa kilivyosema na kilivyokuwa kinaamini.... (Extract kutoka Hotuba ya Mwalimu Nyerere) CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia...
Sababu kwa macho yangu maybe sio hii generation ila generation inayokuja itakuwa haina ajira zenye ujira wa uhakika wala pension za kuwasaidia uzeeni na hapo usishangae wakija kuchukua chako.....
Kwahio for all our sakes politicians needs to not only listen but to act....