Tetesi: Gen Z Tanzania watangaza maandamano makubwa Jumatatu Agosti 5/2024 kutumia haki yao kikatiba kupinga ukosefu wa huduma mbalimbali nchini

Na matamasha ya mziki singeli yawe mengi zaidi
Kwenye ile clip ya kale kabinti
Kanacho bakwa pembeni kuna mziki wa sahv...
Unaimbwa huyooo mtotooooo
Analilia nini sijui apeweee 😄
Aise nchi inasikitisha,kulea mtoto bongo sahv mtihani

Ova
Ulisha wahi kufika Bangladesh wewe!
 
Na matamasha ya mziki singeli yawe mengi zaidi
Kwenye ile clip ya kale kabinti
Kanacho bakwa pembeni kuna mziki wa sahv...
Unaimbwa huyooo mtotooooo
Analilia nini sijui apeweee 😄
Aise nchi inasikitisha,kulea mtoto bongo sahv mtihani

Ova
Ni mtihani sana bro
Taifa halina muelekeo na hakuna wa kukemea
We imagine umezunguka sokoni au una biashara na kelele zote za speakers siku nzima, unategemea kuwe na watu wazima nchini
Halafu wahusika wanaogopa kukemea kisa watakosa kura zao

Upumbavu mwingine ni wa kujitakia tu
 
Tanzania ya wapi hii?
 
ChatGPT pic iyo
 
Hiyo sababu ya maandamano ndio tatizo.
 
Tanzania hakuna Gen Z, kizazi kinachohoji na kuisumbua serikali ni cha 1970 hadi 1980s! Gen Z Bongo wengi ni vilaza tu, bodaboda, amapiano, mapenzi mbele, bongo fleva juu, simba na Yanga oya oya, wala hawana habari na siasa!
 
Tanzania mngesafishiwa njia na kupewa ulinzi, kwa raha zenu. Waulizeni chadomo, maandamano wamemaliza wameanza kutafunana wenyewe kwa wenyewe.

Wale vijana wao "mashoga" waliowatumia mwanzoni wako wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…