Gen Z wa Uganda waanza kuamsha amsha

hehehe hivi nyie huwa mnapiga siasa za dunia hii, ukisha vaa makobaz na kucheza bao huko Pwani na kuhudhuria madrassa mnakopokezana ujinga, hapo unakua ndio ushamaliza.
Vipi kuhusu nyinyi mnaokoboana tope na kutatuana malinda,mpaka Papa ameruhusu kuwabariki pia,shughulika na harufu chafu ya hapo Kibera slums kuliko kufuatilia mambo ya mbali.
 
Halafu Kuna Manyang'au apa nyuma ya keyboard hayana hata kazi ...zaidi ya kazi ya kula kwa shemeji na bado yanawaambia wasijaribu, Hamuijui Njaa Nyie! Siku yenu yaja.
 
We haya mambo ya siasa huyawezi, wewe fungua tu nyuzi za makafiri wenzako ewe myahudi wa tandahima
Kama kufuata utamaduni wa mwarabu ndio bora basi ni fahari kuwa kafiri ubaki na uafrika wako.
 
Ukafiri si mmeutoa kwa mabasha wenu wazungu! Wewe utamaduni wako ni kuvaa nyasi kujiziba mkundoor
Kuvaa nyasi sio utamaduni wa mwafrika labda kama unaandika ukiwa chini ya ushawishi wa bangi wewe pagazi wa mwarabu na bado unasumbuliwa na kasumba ya utumwa ukifikiri unaweza kubadilisha nature na kuwa mwarabu. Bure kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…