Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti ipo wapi!Bora wao kuliko mizoga inayotembea Tz🤣
Kama huoni tofauti nawe ni mzoga, uliyejanjarukaTofauti ipo wapi!
anamaanisha siasa za kenya zinahodhiwa na familia hizo, yaani wakikuyu, wakalenjini na waluo, nje na hapo hakuna wa kubadilisha mamboHebu jaza nyama kwenye hii pointi yako mkuu, ulitaka kumaanisha nini?!
Ahaa!!! Kumbe 🤔anamaanisha siasa za kenya zinahodhiwa na familia hizo, yaani wakikuyu, wakalenjini na waluo, nje na hapo hakuna wa kubadilisha mambo
Kumbe wewe ni mzoga?🙂Bora wao kuliko mizoga inayotembea Tz🤣
Fanya ya kwako wewe chawa. Kimbelembele Cha Nini?Hawa vijana wamejitekenya wenyewe na kujichekesha wenyewe. Kenya Ina wenyewe (Royal families,
1. Kenyatta,
2. Moi(Ruto) na,
3. Odinga)
Wewe unatoka Kibera/Mathare unataka kuharibu system ya upigaji ya hizi familia, Ni mzaha
Kaa kimya. Wewe kama ni maiti Baki kwenye fridge ya mortuary.Vijana wanadhani mambo ni rahisi Kwa kuandamana
Stupid idiot. Unajifanya kulijua Kenya wakati hujui lolote.Who owns Kenya? Familia 4 tu
Kibera stand upUchawa wa Bongo mnadhani upo Kenya. Nyie hata bajeti yenu hamjui inaongelea nini, kazi kurukia yasiyowahusu.
Bavichaa ni vijana waoga sana, wamebaki kunong'ona tu mtandaoni na kulaumu wengine😎😁Uchawa wa Bongo mnadhani upo Kenya. Nyie hata bajeti yenu hamjui inaongelea nini, kazi kurukia yasiyowahusu.
🤣🤣🤣🤣Kama huoni tofauti nawe ni mzoga, uliyejanjaruka
