Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Gen Z watapotezwa na deep state kama walivyopotezwa Viongozi wa MRC (Mombasa) na Mashehe Pwani waolikua wanashabikia Ugaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Times of changed, vizazi vimebadilika, kama walikuwa succesful enzi hizo, enzi hizi ni another generationGen Z watapotezwa na deep state kama walivyopotezwa Viongozi wa MRC (Mombasa) na Mashehe walikua wanashabikia Ugaidi
Stupid idiot.Gen Z watapotezwa na deep state kama walivyopotezwa Viongozi wa MRC (Mombasa) na Mashehe Pwani waolikua wanashabikia Ugaidi
Ruto kasema yuko tayari kuzungumza nao. Hapo ndio pa kuwajua vinara wao na ndio wanaweza wakapotezwa ikiwa wataonekana ni tishio kwa usalama wa nchi. Ila hawa huwezi kuwalinganisha na MRC na wale masheikh wa pwani, hawa walitaka kuteteresha amani na usalama wa kenya kwa kuleta mambo yao ya dini na kuunda ukanda wao wa pwani uongozwe kwa misingi ya dini yao. Gen Z wao ni wa kitaifa na wana elementi za kisiasa, ni hatari wakichukuliwa poa wanaweza wakapindua serikali
Safi sana. Wabainishwe na wapate haki yaoRuto kasema yuko tayari kuzungumza nao. Hapo ndio pa kuwajua vinara wao na ndio wanaweza wakapotezwa ikiwa wataonekana ni tishio kwa usalama wa nchi. Ila hawa huwezi kuwalinganisha MRC na wale masheikh wa pwani, hawa walitaka kuteteresha amani na usalama wa kenya kwa kuleta mambo yao ya dini na kuunda ukanda wao wa pwani uongozwe kwa misingi ya dini yao. Gen Z wao ni wa kitaifa na wana elementi za kisiasa, ni hatari wakichukuliwa poa wanaweza wakapindua serikali
Tofautisha kudai HAKI za Kiraia na kusapoti UGAIDI.Gen Z watapotezwa na deep state kama walivyopotezwa Viongozi wa MRC (Mombasa) na Mashehe Pwani waolikua wanashabikia Ugaidi
Mkuu wa nchi (Ruto) ameshawaita WAHAINI subiria muziki wakeTofautisha kudai HAKI za Kiraia na kusapoti UGAIDI.
GAIDI ni Mtu Hatari.
Mkuu ile Oparesheni ya kuwashughulikia wale Mashehe Magaidi wa Mombasa ni tofauti na hawa Waandamanaji.Mkuu wa nchi (Ruto) ameshawaita WAHAINI subiria muziki wake
Acha tuoneMkuu wa nchi (Ruto) ameshawaita WAHAINI subiria muziki wake