General Commercial Company inawezaje kukusaidia kutajirika?

General Commercial Company inawezaje kukusaidia kutajirika?

Masokotz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,713
Reaction score
6,121
General Commercial Company ni aina ya kampuni ambayo husajiliwa kwa minajili ya kufanya shughuli yoyote ile halali ya kuweza kukuingizia PESA, iwe kuwekeza, kukopa, kukopesha, kuzalisha, kuuza, kununua etc.

Kwa kawaida unachotakiwa ni kuhakikisha kwamba unachofanya ni halali na unakifanya kwa mujibu wa sheria. Mara nyingi aina hii ya kampuni inakuwa kama kampuni nyingine tu ila inependeza ikitumika kama Holding Company.

Mfano Unaweza anzisha andoza Holding ambayo inakuwa ndo kampuni Mama ambayo sasa inakuwa ina subsidiaries mbalimbali ambazozinafanya shughuli tofauti ila Andoza Holding anashughulikia zaiia maswala ya Kodi na Fedha za subsidies.

Hizi subsidies zinaweza kuwa ni Business names au LLC kwa kutegemea aina ya biashara na zinaweza kuwa ni Partnership.

Faida yake utaiona katika issues za kodi, efficiency gharama etc.

Je, umewahi kumiliki au kuendesha General Commercial Company? Zipi ni Faida na hasara zake?Tujadili hapa kwa pamoja ili tuendelee kujifunza
 
Ninachojua Mimi unapofungua kampuni pale BRELA unaorodhesha shughuli unazodhani utakuwa unazifanya. Inaweza kuwa

1. Ufugaji
2. Uvuvi
3. Hotel
4. Usafirishaji
5. Shule
6. ICT
7. Film making
8. Hostel
9. Real estate n.k

Kumbuka Tin number itakuwa moja ya kampuni yako na sio hizo biashara ulizoorodhesha. Ukitaka kufanya biashara yoyote Kati ya hizo unaikatia business license kwa mamlaka husika ili kufanya compliance. Ukisema ufanye hizo bussiness zote maana Yake utakuwa na leseni ya hizo biashara zote chini ya kampuni moja.
 
Ninachojua Mimi unapofungua kampuni pale Brela unaorodhesha shughuli unazodhani utakuwa unazifanya. Inaweza kuwa

1. Ufugaji
2. Uvuvi
3.Hotel
4. Usafirishaji
5. Shule
6. ICT
7. Film making
8. Hostel
9. Real estate n.k


Kumbuka Tin number itakuwa moja ya kampuni yako na sio hizo biashara ulizoorodhesha. Ukitaka kufanya biashara yoyote Kati ya hizo unaikatia business license kwa mamlaka husika ili kufanya compliance. Ukisema ufanye hizo bussiness zote maana Yake utakuwa na leseni ya hizo biashara zote chini ya kampuni moja.
Ni sawa unaweza kuorodhesha shughuli unazofanya na kama unavosema kwamba kila aina ya biashara unatakiwa uikatie leseni yake.Generality hapa ni katika yote unayoweza kuyafanya.
 
Holding Company inakuwa na subsidiaries na wakati mwingine yenyewe inakuwa haifanyi shughuli nyingine/transaction zaidi ya kuwa holding company
Ina maana kwa holding company kila subsidiary inakua na TIN yake au panakua na TIN moja ya holding kwa sub zote?

Lets say kampuni A inajihusisha na kilimo

Kampuni B inajihusisha na biashara

Hapo kampuni A na B kila moja inakua na TIN? au zote zinapelekea mapato kwa holding ambaye anakua na TIN kwa niaba ya hizo subsidiaries?
 
Inategemea,ila mara nyingi kila kampuni inakuwa na TIN yake unless una sababu za msingi za kutaka iwe tofauti
 
Back
Top Bottom