General MASUNZU APONEA CHUPUCHUPU

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Jenerali MASUNZU, siku za nyuma alipewa uongozi wa kanda ya 3 ya kijeshi, ambayo inaundwa na mikoa ifuatayo: Kivu Kaskazini, Kivu kusini, Ituri, Haut-Uélé na Tshopo, amesalimika baada ya kuundiwa kikundi cha watoto wa simba na M23. Ambush hiyo, iliondoka na walinzi wake, huku yeye akijeruhiwa. Na mpaka sasa, amepelekwa mjini Uvira kwa matibabu zaidi, huku lengo likiwa hali yake ikizidi kuwa mbaya, apelekwe Bujumbura, ampapo kuna uwanja wa ndege kwa ajili ya safari ya Kinshasa.

Taarifa zinazosambaa ni kwamba ameshauliwa, ila uhakika ni kwamba bado anapumua.
Huy Masunzu, ni jamii ya watutsi wa Congo huko, na alipewa jukumu la kuhakikisha M23 inapoteza maeneo yote iliyojinyakulia.


Updates zote mtapewa hapa hapa.
 
Vizuri, wapunguzane kidogo kidogo hao mageneral, na seniors kote duniani vijana wapya wakaimu hizo post, maisha ni mduara, sio kila siku kulazimisha gurudumu ligome kuzunguka.
 
Failed state huna jeshi imara huna nchi period
 
DRC ni nchi ya wapumbavu, washenzi na wajinga kupindukia...ni waoga, watu WA misifa na hata IQ Yao ni ya chini sana...wewe fikiria wengi wao hupenda kujichubua ili waonekane ni wazungu..matatizo ya DRC hayakuanza Leo ..miaka ya nyuma kulikuwa na Jimbo la Katanga lililotaka kujitenga.. Kuna MTU alikuwa anaitwa Moise Tshombe....hata huyo Tshishekedi ni ovyo tu...amevimba mishavu kama dubu..wananchi wake wanakufa yeye anakwenda Paris...very stupid..Wakongo wengi ni wanafiki na wenye tabia ya usaliti...halafu ni waoga kama njiwa au kunguru..ovyo kabisa...DRC is a failed state ndiyo maana Kagame anajipigia tu...Kongo hata tukiwakusanya panya road wetu na wavuta bangi wanaweza kusonga mbele Hadi Kisangani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…