Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,947
- 7,939
Somo la General Studies katika kidato cha sita si sehemu ya combination. Waraka mpya wa matokeo kwa GPA hauoneshi kama somo hili litajumuishwa katika kukokotoa matokeo ya mwanafunzi wala haioneshi kama kutakuwa na penati kwa watakaofeli. Sasa umuhimu wake upo wapi? Je wanafunzi watasoma hili somo?