General Tyre: Is it a slow death to a once an East Africa Giant??

Ngongo,
Ingekuwa vizuri kama ungeweza kutumia uzoefu wako uandike makala "What happened to our indigenous industries," kwa sababu suluhu waliyotumia akina Mwinyi na Mkapa, ya kubinafsisha kila kitu kiholela, ni ya madhara makubwa kwa Tanzania as a nation kulinganishwa na malalamiko kuwa viwanda vilikuwa havi-perform, therefore bora kubinafsisha kuliko kuviacha kuwa mzigo kwa taifa. Lingekuwa somo zuri sana kwa Watanzania wanaotafuta njia mbadala ya ubinafsishaji kiholela kama solution and the only way to development.
 

Asante sana mkuu kwa kunifahamisha,madudu ya nchi hii yanakera sana,unaweza ukaamua kuwa hata suicide bomber ili kuwamariza mafisadi,thanks.
 
"General Tyre imekufa, tusiwalaumu wakenya wala waganda, Viongozi wetu wamekosa uzalendo, kwa nchi kama Korea ya Kusini wakati wa uongozi wa Lee Park, viongozi kama Mary Nagu walikuwa wananyongwa au kupigwa risasi mbele ya raisi. Huku kwetu Mary Nagu anazidi kupanda chati na kukaa meza moja na raisi. Sijui labda kitafufuka baada ya SIRILI kupewa wizara hiyo tena, japo walikuwa pamoja na NAGU mwizi wa kura Hanang?
 
TISS is protecting those who are prosecuting Tanzania it is a shame-Go to Loliondo those the murderers of Tanzania (OBC) are protected by our own intelligence paid by our money. What a shame. JUAN it is not GENERAL TYRE ALONE-SERENGETI IS DYING AS A RESULT OF UNPROTECTED HUNTING IN LOLIONDO HUNTING BLOCK UNDER OBC CONCESSION WHO ARE PROTECTED NOT ONLY BY TISS BUT ALSO................... ANGALIA SIMALIZWE HAPA LABDA ANANISIKIA
 
"General Tyre imekufa, tusiwalaumu wakenya wala waganda, Viongozi wetu wamekosa uzalendo, kwa nchi kama Korea ya Kusini wakati wa uongozi wa Lee Park, viongozi kama Mary Nagu walikuwa wananyongwa au kupigwa risasi mbele ya raisi. Huku kwetu Mary Nagu anazidi kupanda chati na kukaa meza moja na raisi. Sijui labda kitafufuka baada ya SIRILI kupewa wizara hiyo tena, japo walikuwa pamoja na NAGU mwizi wa kura Hanang?
 

KwenyeRED hapo FAFANUA kama zipo detaiils zozote.... you r a great thinker so you need to be specific bro, maana hii hujisaidii peke yako bali na wengine tuliopo hapa, kwa hiyo elezea kwa kina.
Kwenye BLUE hapo........... FICHA UPUMBAVU WAKO HAPA..... LAKINI USIFICHE HEKIMA.... kama kuna mtu mtaje unless otherwise UNAFICHA UPUMBAVU WAKO.... kama sio, basi TAJA sijui unamuogopa nani??? Hau huna ushahidi wa unachozungumza???
 
What i know about General tyre ni kwamba yule CEO mkenya alitumwa na YANA ile kampuni ya matairi ya kenya ili aje kuihujumu General Tyre na YANA waweze kuchukua soko la matairi. Siamini kwamba TISS hawakulijua hili bali nadhani uzalendo ni zero. Nawasilisha.
 
Alafu pabaya ni kwamba wengi mpaka leo hawajalipwa their just deserves. Hii nchi na serikali sometimes inasikitisha!!! yani kujivunia kuwa mbongo kwa kweli sometimes ni aibu tu.😛uke:
 
Wapo wadau wa ndani ya bunge ambao naamini ni wahudhuriaji wazuri wa hapa jamvini!Nawaomba wapeleke hoja binafsi bungeni ili kunusuru hujuma!
NAOMBA KUWASILISHA
 
Ni ngumu kuamini waziri aliyehusika anaitwa panga zee lenye makali...
 

Wewe ndo huyo "whistleblower?" Uliefukuzwa kazi?
 
Mambo yanatisha historia ya GT kuanguka kwake kunatisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…