BUNGE
Member
- Jan 8, 2010
- 12
- 2
Wakuu habari za leo na poleni na kulisukuma gurudumu hili ambalo linazidi uzito kila kukicha... Salute!!
Sasa ni hivi... Kwa kutambua mchango wenu wana JF... Naomba kuuliza swali general kuhusu biashara ya kukodisha Generators za KVA10 - 400 kwa Dar au Tanzania kwa Ujumla.
Nachotaka kujua ni;
- Kama kuna makampuni au mtu anafanya tayari
- Bei za kukodi Gennies(generators) ni kiasi gani per hour/day etc
- Potential clients
- Anything else you deem useful
Your input will be very much appreciated!!!
Asanteni saana
Sasa ni hivi... Kwa kutambua mchango wenu wana JF... Naomba kuuliza swali general kuhusu biashara ya kukodisha Generators za KVA10 - 400 kwa Dar au Tanzania kwa Ujumla.
Nachotaka kujua ni;
- Kama kuna makampuni au mtu anafanya tayari
- Bei za kukodi Gennies(generators) ni kiasi gani per hour/day etc
- Potential clients
- Anything else you deem useful
Your input will be very much appreciated!!!
Asanteni saana