cha kusikitisha ni wanawake wenye uwezo kifedha ambao wanaweza kupata wanaume bila kutumia nguvu/silaha lakini kitendo cha kumlazimisha mwanaume kufanya wanavyotaka ndio kinawasukuma.Haaaa na dudu wanaziwekea pop au wanazifungia toothpick ili mambo yaende sawia
hapo sasa,kwenye comment za habari hii kuna Wakenya wengi wanataka kwenda Harare na kusimama barabarani nao wapewe lifti na hawa kinadada lol!unahitaji kuwa mwanaume wa shoka kuweza function in such situation (unless wanatumia msaada wa viagra)..
Anyway kwa atakaekutana nao ajaribu kuwashauri kwamba tabasamu can work wonders more than the Gun
Kweli mkiwezeshwa mnaweza hahaha!Duh! Wanawake wanaweza weza......
<br /><br />Kweli mkiwezeshwa mnaweza hahaha!
Umeshajaribu angalau mara moja?&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
tunaweza si kidogo.
<br />Umeshajaribu angalau mara moja?
<br />Mh hao wanaume kama walikuwa wanasikilizia vileee, mwanaume anabakwaje> koz akipata mstuko hamna kitu kinaendelea, labda kama alivosema BB
Usicheze na bastola dear utafanya unalo ambiwa,halafu wanakushikilia hadi siku tano kabla ya kukuachia huru.Mh hao wanaume kama walikuwa wanasikilizia vileee, mwanaume anabakwaje> koz akipata mstuko hamna kitu kinaendelea, labda kama alivosema BB
..anza na mimi kwa majaribio!<b>safi sana na huku tuanzishe</b>