Genge la wauza madawa ya kulevya lamuua kikatili "Snitch" kutoa onyo kwa wengine huko Kilimanjaro

Mimi kuna Kijana wa Kitanzania kutoka Mkoa wa Tanga nilimpa lifti kutoka Kigali alikuwa ametokea India kashukia Kanombe na Mabegi mawili makubwa kufika Singida tukaingia Bar akaniambia kuwa kazi zake ni za kuingiza Unga Astaghfurula! Toba! nikamwambia unataka KUNIFUNGA!?

Nikamwambia atafute usafiri mwingine akanipoza kwa Dola 300 halafu akatokomea gizani akamuacha hata yule Mwanamke aliyekuwa amemuandaa akalale nae😁😆

Mimi ndio Imhotep nikiwaga Konyagi sipendagi upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…