Genius JiniX66 Bonge la msanii

Genius JiniX66 Bonge la msanii

Benderea

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
686
Reaction score
1,303
Huyu amemshirikisha Jay Melody katika ngoma yake kali FAR AWAY .Mwanzoni nilijua ni Mnaija mpaka nilipo mgoogle ndo nikajua m TZ.Nilishangaa sana.Kilichonishangaza zaidi ni mshamba wa kuvaa kama Marioo ! Nikashangaa zaidi inakuwaje Jay Melody anaruhusu hilo ? Sasa alieshirikishwa ndo kapendeza kumfunika alomshirikisha .Duu !
 
Huyu amemshirikisha Jay Melody katika ngoma yake kali FAR AWAY .Mwanzoni nilijua ni Mnaija mpaka nilipo mgoogle ndo nikajua m TZ.Nilishangaa sana.Kilichonishangaza zaidi ni mshamba wa kuvaa kama Marioo ! Nikashangaa zaidi inakuwaje Jay Melody anaruhusu hilo ? Sasa alieshirikishwa ndo kapendeza kumfunika alomshirikisha .Duu !
Noma sana!
 
Huyu ndo anayetengeneza ngoma zote ukiacha zile alizokuwa tht jay melody... kiufupi nyimbo zote hit anazotamba nazo kwa sasa jay melody zimetengenezwa na yeye ni msanii na producer... So usidhani jay melody kutoa collaboration naye ni kwa bahati mbaya..!
 
Back
Top Bottom