hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Mtoto (dogo)-- Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne (4) kwani hili la tatu (3) halinifai
Mwalimu-- Kwanini unasema Hivyo ?
Mtoto(dogo)--- Nina Akili nyingi sana .
==BASI MWALIMU AKAMUELEZA MKUU WA SHULE NA MKUU WA SHULE AKAITISHA INTERVIEW KWA DOGO '==
Maswali ni Haya
==================
Mwalimu --- Kwenye ndege kuna matofali ishirini (20) tukitoa Moja (1) tukalidondosha chini yatabaki mangapi !?
Mtoto(Dogo)-- Yatabaki kumi na Tisa (19)
Mwalimu -- Nipe hatua za kumuweka Tembo kwenye fridge .
Mtoto(dogo)-- Unalifungua fridge una muweka Tembo kisha Unalifunga "..
Mwalimu -- Nipe hatua za Kumuweka Nyani kwenye fridge "-
Mtoto(dogo) -- Unafungua fridge unamtoa Tembo uliyemuweka .Una muweka Nyani kisha Unalifunga fridge ..
Mwalimu --Kuna sherehe ya siku ya Kuzaliwa kwa Simba Wanyama wote Wamekwenda " kasoro Mmoja .
(A)Ni nani ?
(B)Na kwanini ?
Mtoto(dogo)--
(A)Ni nyani
(B) Kwa sababu Tume muweka kwenye fridge
Mwalimu -- Bibi kizee Amevuka Mto Unaokuwaga na Mamba Wakali na Viboko Aliwezaje ?.
Mtoto(dogo)--Aliweza kwa sababu Mamba na Viboko wote Walikwenda Kwenye sherehe ya kuzaliwa Kwa Simba ..
Mwalimu -- Ingawa Bibi Kizee Alivuka Mto salama Lakini Baadae Alikufa Unadhani ni kwanini ? ..
Mtoto(dogo)-- Ni kwasababu Alidondokewa na Lile Tofali Tulilolitoa kwenye Ndege na kulitupa Nje ..
Mkuu Wa Shule Akajibu--- Huyu Dogo Akasome Chuo kikuu ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu-- Kwanini unasema Hivyo ?
Mtoto(dogo)--- Nina Akili nyingi sana .
==BASI MWALIMU AKAMUELEZA MKUU WA SHULE NA MKUU WA SHULE AKAITISHA INTERVIEW KWA DOGO '==
Maswali ni Haya
==================
Mwalimu --- Kwenye ndege kuna matofali ishirini (20) tukitoa Moja (1) tukalidondosha chini yatabaki mangapi !?
Mtoto(Dogo)-- Yatabaki kumi na Tisa (19)
Mwalimu -- Nipe hatua za kumuweka Tembo kwenye fridge .
Mtoto(dogo)-- Unalifungua fridge una muweka Tembo kisha Unalifunga "..
Mwalimu -- Nipe hatua za Kumuweka Nyani kwenye fridge "-
Mtoto(dogo) -- Unafungua fridge unamtoa Tembo uliyemuweka .Una muweka Nyani kisha Unalifunga fridge ..
Mwalimu --Kuna sherehe ya siku ya Kuzaliwa kwa Simba Wanyama wote Wamekwenda " kasoro Mmoja .
(A)Ni nani ?
(B)Na kwanini ?
Mtoto(dogo)--
(A)Ni nyani
(B) Kwa sababu Tume muweka kwenye fridge
Mwalimu -- Bibi kizee Amevuka Mto Unaokuwaga na Mamba Wakali na Viboko Aliwezaje ?.
Mtoto(dogo)--Aliweza kwa sababu Mamba na Viboko wote Walikwenda Kwenye sherehe ya kuzaliwa Kwa Simba ..
Mwalimu -- Ingawa Bibi Kizee Alivuka Mto salama Lakini Baadae Alikufa Unadhani ni kwanini ? ..
Mtoto(dogo)-- Ni kwasababu Alidondokewa na Lile Tofali Tulilolitoa kwenye Ndege na kulitupa Nje ..
Mkuu Wa Shule Akajibu--- Huyu Dogo Akasome Chuo kikuu ..
Sent using Jamii Forums mobile app