Geniveros interview on muosha rungu live show!

Umewahi kucheat Na unadhani unaweza cheat kwa ajili ya kupata pesa cheo au dili!?

DJ sepetu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nilicheat last year and I don't regret!maana jitu lenyewe lilikua halieleweki nilimkomesha kidogo na yeye then nkalipiga chini
Siwezi cheat kwa sababu ya kitu au cheo
Mkuu wa shule mmoja alikua ananisumbua mnoo ila nilikomaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mfano umeolewa mume wako aka-cheat mara moja ukagundua. Ndio basi ndoa imevunjika au utampa second chance!
No one is immune to cheating, hata mimi naweza kuchepuka (God forbid). Cheating sio tu kosa la kawaida, ni kubreak "trust" ya mtu, Ukiacha the fact kwamba umeshavunja ndoa yako spiritually. What happens after cheating ndo kinachomatter zaidi, amerepent kweli kwa Mungu na kwangu? Anafanyaje kuirejesha upya ndoa yetu ambayo ameshaivunja (Toba)? Na anafanyaje kuhakikisha anarudisha trust yangu aliyoivunja na hafanyi tena kosa lile lile? (Trust is earned). Hiyo nimeassume ni ndo mara ya kwanza kuchepuka na naassume "ameanguka", na amerepent cos wapo wanaocheat na anaona ni sawa tu. So jitihada zake za kunyanyuka zitamatter sana. Ikitokea mara ya 2 (anajenga tabia sasa) then lemme reserve my comment. Mungu atuepushie tu coz unaweza ukachepuka hiyo once ila ndo damages zake zikawa beyond repair; not all the time utachepuka tu na kuget away with it
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] uliyecheat naye ndo huyu bwana Harusi mteule!

DJ sepetu
 
Hahaha mbona kupenda kisukuma lol
 
Well understood.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…