GENTA ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JF

[emoji1787][emoji1787]

Good morning my wangu.. nilisahau kukwambia, ila kiukweli jua linawaka sana. Sitakiwi kusumbuliwa bhanaa
unakaa wapi mpenzi jua linakowaka
 
Watasema ni genta mwenyewe kajianzishia uzi🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
We lazima utakuwa Mshana Jr kwa ID nyingine. Sasa hilo lipare la Thame lina mvuto gani?

Jizi la kuku hilo... Ole wake nilikute na dada zangu....

Ntaliulia hapo....
 
Huu utoto wa kutumia I'd za kike ni upambavu,

Kwa watu wanaojua saikolojia za miandiko mnasumbuka

Kama si yule mwamba wa matusi mengi,ni upuuzi uliopitiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…