Gentlemen Cars in town

Gentlemen Cars in town

Mbalamwezi1

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
2,073
Reaction score
2,026
Yaani kwa sasa gentlemen cars in town kwa Tanzania ni Land Rover Discovery kuanzia series 2 na kuendelea. Wanaoendesha haya magari kwanza ni watu fulani hivi wanaonekana ni wastaarabu na wasio na vurugu barabarani.

Halafu always utawakuta vioo vipo juu, hii inaonesha ni watu wa kipato cha kati mpaka juu. Huwezi kuwakuta wanatanua hovyo they always stays on the queue halafu ni ndinga flani hivi za heshima. Big up kwenu nyote mnaomiliki LR Discovery 2 na kuendelea
 
Yaani kwa sasa gentlemen cars in town kwa TZ ni Land Rover Discovery kuanzia series 2 na kuendelea. Wanaoendesha haya magari kwanza ni watu fulani hivi wanaonekana ni wastaarabu na wasio na vurugu barabarani. Halafu alwayz utawakuta vioo vipo juu, hii inaonesha ni watu wa kipato cha kati mpaka juu. Huwezi kuwakuta wanatanua hovyo they always stays on the queue halafu ni ndinga flani hivi za heshima. Big up kwenu nyote mnaomiliki LR Discovery 2 na kuendelea
How old are you!
 
Yaani kwa sasa gentlemen cars in town kwa TZ ni Land Rover Discovery kuanzia series 2 na kuendelea. Wanaoendesha haya magari kwanza ni watu fulani hivi wanaonekana ni wastaarabu na wasio na vurugu barabarani. Halafu alwayz utawakuta vioo vipo juu, hii inaonesha ni watu wa kipato cha kati mpaka juu. Huwezi kuwakuta wanatanua hovyo they always stays on the queue halafu ni ndinga flani hivi za heshima. Big up kwenu nyote mnaomiliki LR Discovery 2 na kuendelea

Kwani hii gari mpaka kuwa nayo mkononi bei gani kwanza
 
Nazipenda hizo gari hasa old model discovery TD1 5 !!!! Acha tuuu pamoja na Ford ranger ila uwezo wangu ni wa probox !!!
Ipo ford ranger bei na ushuru sawa na probox ila hizo wildtruck na ndugu zake bei zake zimechangamka kama zenyewe ila ni gari zenye nguvu mno kama ya Simba na mapumziko yapo.

Toyota wapo na GD 6 Nissan Navara wamekuja na toleo jipya lina muundo mzuri huku Isuzu nao hawajabaki nyuma kwa kweli pick up za kibabe zimetoka sana hiki kipindi cha Corona...
 
Back
Top Bottom