Geof Leah: mpinzani wa Yanga msimu huu atakua ni Azam Simba bado sana

Geof Leah: mpinzani wa Yanga msimu huu atakua ni Azam Simba bado sana

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
... [emoji772] 𝗧𝗒𝗣 (3) 𝗬𝗔 π—šπ—˜π—’π—™ π—Ÿπ—˜π—”π—›

"Mpinzani wa Yanga msimu huu 24|25 ni Azam FC sio Simba. Kuhusu Ubingwa nampa Yanga 50%, Azam 30% na Simba 20%"

"Simba bado inajengwa hivyo hawawezi kubeba Ubingwa msimu huu"

[emoji2399] Geof Leah

Shabiki wa klabu ya Simba na Mchambuzi wa kituo cha Crown fm radio [emoji343]

#HapaniHabariSahihiTu
#MpiraWaAfrika....
1721760363734.jpg
 
... [emoji772] 𝗧𝗒𝗣 (3) 𝗬𝗔 π—šπ—˜π—’π—™ π—Ÿπ—˜π—”π—›

"Mpinzani wa Yanga msimu huu 24|25 ni Azam FC sio Simba. Kuhusu Ubingwa nampa Yanga 50%, Azam 30% na Simba 20%"

"Simba bado inajengwa hivyo hawawezi kubeba Ubingwa msimu huu"

[emoji2399] Geof Leah

Shabiki wa klabu ya Simba na Mchambuzi wa kituo cha Crown fm radio [emoji343]

#HapaniHabariSahihiTu
#MpiraWaAfrika....View attachment 3057356
Yeye ni Nani kwenye soka ?
 
nimeamini watanzania hawajui mpira daaah inasikitisha.

Yaani mpira unadunda ni sawa japo kwenye tope mpira haudundi lakini nasema hivi Simba anaweza kufanya lolote misimu huu
 
Back
Top Bottom