Yeye ni Nani kwenye soka ?... [emoji772] π§π’π£ (3) π¬π πππ’π ππππ
"Mpinzani wa Yanga msimu huu 24|25 ni Azam FC sio Simba. Kuhusu Ubingwa nampa Yanga 50%, Azam 30% na Simba 20%"
"Simba bado inajengwa hivyo hawawezi kubeba Ubingwa msimu huu"
[emoji2399] Geof Leah
Shabiki wa klabu ya Simba na Mchambuzi wa kituo cha Crown fm radio [emoji343]
#HapaniHabariSahihiTu
#MpiraWaAfrika....View attachment 3057356
Ni mchambuzi kwenye soka mkuu. Una swali kingine?Yeye ni Nani kwenye soka ?
Tumekusikia "MSEMAJI WA S.S.C"Uchambuzi huo mkuu
Jemedari yule ni Yanga Pure kabisa.Ndugu yao kabisa huyo pamoja na yule Jemedari Saidi! Sijui amekutwa na nini mpaka amefikia hatua ya kuikosoa timu yake pendwa.
Utafikiri unajua kucheza mpira au kuelewa mpira.Ni ngumu