NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Inatumika nguvu kubwa sana kuwaaminisha mashabiki wa kuwa Yanga haliwezi kucheza fainali.
Geof Lea umegeuka kuwa mtabiri wa nyota Kama shehe Yahya ama Yule pweza wa Ujerumani.
Nimesikiliza uchambuzi wako nimegundua kabisa "You know nothing about football" Ila unachambua mpira kinafiki/kishabiki ili upate comments/likes kwenye social media.
Unajiita mchambuzi kabisa unasema Yanga itakufa magoli matatu! Wewe ni mchambuzi wa Aina gani na namna gani na unatumia factors zipi mpaka unasema kuwa Yanga itafungwa magoli matatu??
Usipoomba radhi kutokana na kauli yako/utabili wako/uchambuzi wako wa mchongo kesho kutwa utakula matapishi yako uliyoyatapika.
Mpira dakika 90 acha mpira uchezwe ndiyo uje kutapika maneno yako.
Geof Lea umegeuka kuwa mtabiri wa nyota Kama shehe Yahya ama Yule pweza wa Ujerumani.
Nimesikiliza uchambuzi wako nimegundua kabisa "You know nothing about football" Ila unachambua mpira kinafiki/kishabiki ili upate comments/likes kwenye social media.
Unajiita mchambuzi kabisa unasema Yanga itakufa magoli matatu! Wewe ni mchambuzi wa Aina gani na namna gani na unatumia factors zipi mpaka unasema kuwa Yanga itafungwa magoli matatu??
Usipoomba radhi kutokana na kauli yako/utabili wako/uchambuzi wako wa mchongo kesho kutwa utakula matapishi yako uliyoyatapika.
Mpira dakika 90 acha mpira uchezwe ndiyo uje kutapika maneno yako.