Geoffrey Kaburu hatimaye amenyolewa na kamati ya uchaguzi ya simba katika harakati za kuwania uenyekiti wa klabu hiyo.

Achana na maneno ya vijiweni mkuu. Ni mechi gani yyte unayoikumbuka Kaburu aliiuza club Kwa wapinzani
Achana na mechi unakumbuka ishu ya amisi tambwe kamaliza msimu ni topscorer ligi kuu jamaa akamuuza yanga kwa kudai eti kaishana yanga akaenda tena kubeba kiatu......pale ndio niliona kaburu hafai
 
Achana na mechi unakumbuka ishu ya amisi tambwe kamaliza msimu ni topscorer ligi kuu jamaa akamuuza yanga kwa kudai eti kaishana yanga akaenda tena kubeba kiatu......pale ndio niliona kaburu hafai
Yule alipelekwa na marehemu Hanspope Tena alisema alikuwa anamsaidia baada ya phiri kumkataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…