Humjui kaburu wewe bora alivyonyolewa huyo kuiuza club kwa wapinzani ni kitu rahisi sana kwakeKumtaka Kaburu na kumuacha Mangungu aendelee kugombea uwenyekiti ni uzuzu
Achana na maneno ya vijiweni mkuu. Ni mechi gani yyte unayoikumbuka Kaburu aliiuza club Kwa wapinzaniHumjui kaburu wewe bora alivyonyolewa huyo kuiuza club kwa wapinzani ni kitu rahisi sana kwake
Shangaa nawewe ndugu yanguAsha baraka anafanya nini kwenye bodi ya wakurugenzi?
Ndio mana timu haziendelei, hivi kweli tuwe serious huyo ana mchango gani kwenye maendeleo ya mpira, kitaalamu namaanisha!Shangaa nawewe ndugu yangu
Ila maisha bana,yani na umaarufu alionao kumbe ni form 4 tu!Asha baraka anafanya nini kwenye bodi ya wakurugenzi?
Achana na mechi unakumbuka ishu ya amisi tambwe kamaliza msimu ni topscorer ligi kuu jamaa akamuuza yanga kwa kudai eti kaishana yanga akaenda tena kubeba kiatu......pale ndio niliona kaburu hafaiAchana na maneno ya vijiweni mkuu. Ni mechi gani yyte unayoikumbuka Kaburu aliiuza club Kwa wapinzani
Humjui kaburu weweAchana na maneno ya vijiweni mkuu. Ni mechi gani yyte unayoikumbuka Kaburu aliiuza club Kwa wapinzani
Yule alipelekwa na marehemu Hanspope Tena alisema alikuwa anamsaidia baada ya phiri kumkataaAchana na mechi unakumbuka ishu ya amisi tambwe kamaliza msimu ni topscorer ligi kuu jamaa akamuuza yanga kwa kudai eti kaishana yanga akaenda tena kubeba kiatu......pale ndio niliona kaburu hafai