Me sijawahi kuwa blinded na Wasafi SEMA tu utafsiri wako ndio unashida.Siku hizi unajitahidi kuwaza, kuna kipindi ulikuwa blinded na WCB
Sasa mke asinunuliwe gari afu iweje? Aaaah ndoa tamu bhana
... maamuzi yote ya Wasafi wanafanywa na Diamond kusaga Ni sehemu tu ya wawekezaji lakini Hana mamlaka yoyote ndani ya Wasafi so why uwezi kumkuta board ya Wasafi utamkuta Diamond ...
Ni kweli ila huyo unaemsema kanunuliwa gari, amenunuliwa kwa dhumuni nje ya hilo unalolizungumzia.wabadilike sasa.
Tasnia ya Habari imekuwa kama mchezo wa soka.
Usipowalipa vizuri wachezaji wako watahamia timu pinzani.
Ni kweli ila huyo unaemsema kanunuliwa gari, amenunuliwa kwa dhumuni nje ya hilo unalolizungumzia.
Sio swali, ni jibu sahihi kabisaaahKwa hyo b dozen ni mke mwenza wa lulu?
Huyu mtu nampenda hadi naumwa, plz mwenye # ya geofrey anipatie
Alitokaje Azam ambako mnasemaga wanalipa vizuri akarudi Clouds??Clouds njaa Sana kwa style hii wataondoka wengi kipindi kile Cha ruge pamoja na kwamba walikuwa wanalipwa kidogo lakini ruge alikuwa anajua namna gani ya kuhandle
Ruge Ali kuwa master ana plan na mikakati kabambe .Nnachokiona ni kwamba watangazaji wa hapo clouds walikuwa hawaondoki kipindi ruge yupo sio kwamba walikuwa wameridhika bali walikuwa wanamuogopa ruge, na hata wale wachache waliokuwa wanathubutu kuondoka walikuwa kama wana ka uoga fulani hivi kama hawajiamini, yule baba cjui alikuwa na kitu gani jamani yani alikuwa anaogopewa kwenye hii industry si mchezo, yani sio wasanii, sio watangazaji yani hata kusaga mwenyewe alikuwa hathubutu kumbishia yule jamaa. Its like Sasahivi finally they are free
Humu jamiiforums kuna vitu vingine unavisoma mpaka unashangaa.Tatizo lenu mnachukulia JF kama kijiwe cha vilaza kama nyinyi.
Unakurupuka na kuandika eti mtu mwenye hisa zaidi ya 51 hana mamlaka yoyote.
Nakushauri kajifunze vitu vifuatavyo:-
1. Mkurugenzi (Director)
2. Mkurugenzi mtendaji (Executive director)
3. Controlling and non controlling shareholding
4. Voting rights
5. Level za maamuzi (kipi kinaishia kwa CEO na management, na kipi kinaenda kujadiliwa na Board.
Ukishajielimisha juu ya hayo, utaweza kupata picha ni kwa namna gani utendaji na maamuzi ulivyo kwenye makampuni.
Wabongo hawajazoea kuona mtu anaanza kuimba na kufika pale, wao wamezoea msanii baada ya miaka kadhaa anampigia magoti ostaz juma au anakua teja.Hawataki kabisa kumwonyesha kwamba Diamond ndio CEO hata kama hisa zake ni chache kidogo ila hawaelewi kwamba unaweza ukawa na hisa kidogo ila jina lako au uzoefu wako katika kazi flani ikakufanya wewe kuwa kiongozi mkuu hata kama hisa zako.
Alitokaje Azam ambako mnasemaga wanalipa vizuri akarudi Clouds??
Ishu sio kulipa vizuri,ishu ni watu kupanda dau sana kwa target wanazozitaka..let say unaambiwa utalipwa 2x ya mshahara wako wa sasa??
Unachotakiwa kujua ni kuwa mshahara unabidi uwe fair tu and not otherwise..Hata hapo Efm anaweza kutolewa tena,utasema Efm hawalipi vizuri??
Humu jamiiforums kuna vitu vingine unavisoma mpaka unashangaa.
huyo jamaa ulimquote sidhani hata kama ana uelewa wa kampuni zinazomilikiwa kwa muundo wa hisa
Kwa alichokiandika basi mtu kama Steve Jobs asingefukuzwa apple 1985.
Hili nami nililisikiaSasa mke asinunuliwe gari afu iweje? Aaaah ndoa tamu bhana
Nafas n ya geofrey tyuuh jomoneeeh,hyo nafasi si bora unipe mimi
Wewe ni msemaji wa wasafi media hapa Jamii forum ?Wasafi mwenye nguvu Ni mondi hata wafanyakazi wa Wasafi hawamfahamu huyo kusaga hapo unamuonea kusaga,kusaga kajikita clouds fm changamoto kubwa ya clouds inachowakuta sasa Ni kukosa program manager mzuri baada tu ruge kufariki yule maganga hamna kitu na Kuna kipindi walimuweka Hadi shaffihdauda kiufupi wanaboronga Sana.