Sio tu masuala ya wasafi pekee asilimia kubwa mambo yanayohusu entertainment kwa ujumla me nafahamu.
Umejikita zaidi kuelezea habari za wasafi mediaSio tu masuala ya wasafi pekee asilimia kubwa mambo yanayohusu entertainment kwa ujumla me nafahamu.
Pamoja na kwamba nasikiliza media nyingi za bongo lakini vipindi vya wasafi ndio naangalia Sana kuliko zote nikama kwa mtu mwingine unaweza ukakuta yeye anaangalia Sana East Africa tv than any bongo media.Umejikita zaidi kuelezea habari za wasafi media
Yes,alingolewa hapo akarudishwa cloudsHv Gadna G si alitoka CMG akaenda EFM na baadae akarudi tena CMG!
Kwan tatizo liko wapii mkuu!??Huyu naye kashakua ma*aya WA media, alitoka clouds akaenda Azam hakukaa hata mwaka akarudi tena CMG,Leo kahamia Efm.
Huyu inabidi atulie sehemu moja ajenge career yake hata kama maslahi ndio kigezo, utafika wakati atakosa pakwenda, akumbuke hiyo ni mikataba tu na ina ukomo wake
mayowela we Ni mdau mkuu Sana wa Media kiujumla naomba nikuulize unaionaje kipindi kipya Cha Wasafi tv Cha Big Sunday live?kuhusu huyo jamaa Jeff Lea sijawahi kumkubali kabisa kwa sababu una ushabiki wa man United katika uchambuzi wake ajui kuleta balance kwenye uchambuzi.Huyu inabidi atulie sehemu moja ajenge career yake hata kama maslahi ndio kigezo, utafika wakati atakosa pakwenda, akumbuke hiyo ni mikataba tu na ina ukomo wake
Alikuwa CMG, Akaenda AZAM, Shafii akamrudisha CMG, Sasa kasepa EFM, Baadae tutamuona WASAFI FM
Kila la heri baada ya msiba wa mama yake hajawa sawa jamaa basi tu
Percy Kama ingekuwa Azam wanalipa mishahara minono Ahmed abdallah asingehama na kujiunga na Wasafi media labda uniambie wanalipa mishahara minono kwa baadhi ya Wafanyakazi nitakuelewa.Mwenye data atujuze, nini kilichomkimbiza Jeof Lea pale Azam TV? Mahali ambapo kila mtangazaji anatamani awepo kutokana na mishahara yao minono?
Big Sunday Live ni kipindi kizuri, kimeenda na wakati na content ambazo wengi wanafanya kama Clouds+ na the Giant, ETV na HOMA, Clouds tv na Washa Kideo, sikuhizi hakuna clubs so watu ambao sio wa mitoko wamewateka, ila tu, wangepunguza watangazaji angalau wabaki wawilimayowela we Ni mdau mkuu Sana wa Media kiujumla naomba nikuulize unaionaje kipindi kipya Cha Wasafi tv Cha Big Sunday live?kuhusu huyo jamaa Jeff Lea sijawahi kumkubali kabisa kwa sababu una ushabiki wa man United katika uchambuzi wake ajui kuleta balance kwenye uchambuzi.
Kuna wakati mtu anahama sehemu sio tu maslahi, pia uhuru wa kazi na kupewa nafasi, kuna watu wako sehemu kubwa ila hawako huru kufanya kazi, hawapewi nafasi ya kusikika hawana maamuzi, haya mambo hupelekea mtu kuondoka hata kama dau limeongezeka lakiPercy Kama ingekuwa Azam wanalipa mishahara minono Ahmed abdallah asingehama na kujiunga na Wasafi media labda uniambie wanalipa mishahara minono kwa baadhi ya Wafanyakazi nitakuelewa.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Sasa mke asinunuliwe gari afu iweje? Aaaah ndoa tamu bhana
Wasafi kua pale sio investment ya kusaga..wasafi ni brand tu ndio iliyowasimamisha.....yani kweny brand kusaga hatingishi hata kiberiti...na ukiwa na brand hata uje na billions of money haufui dafu...Kwnini wagumu kumuappreciate Almasi?Clouds ruge alikuwa anaibeba sana.
Kusaga haitendei haki clouds , nguvu kubwa kaiwekea wasafi media..
Yaani tajiri wenu ana kampuni mbili zinazoshindana.. halafu moja anaiwekea nguvu kubwa , lazima wafanyakazi mjisikie vibaya...msepe
mayowela Katika vipindi hivyo vyote kipi kwako unaona ni Bora kuliko vyote na panga kwa mpangilio kuanzia moja mpaka ya mwishoBig Sunday Live ni kipindi kizuri, kimeenda na wakati na content ambazo wengi wanafanya kama Clouds+ na the Giant, ETV na HOMA, Clouds tv na Washa Kideo, sikuhizi hakuna clubs so watu ambao sio wa mitoko wamewateka, ila tu, wangepunguza watangazaji angalau wabaki wawili