Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Suala sio brand kuwepo kabla, management iliyopo inaitambua hiyo brand na ina umuhimu mkubwa umeng'ang'ania tu brand no matter, ilikuwepo au ipo unajua inavyojiendesha???Unashindwa kuelewa kitu kimoja....Brand ipo kabla ya hiyo management.....
We jamaa bana[emoji3]Suala sio brand kuwepo kabla, management iliyopo inaitambua hiyo brand na ina umuhimu mkubwa umeng'ang'ania tu brand no matter, ilikuwepo au ipo unajua inavyojiendesha???
Reasoning capacity yako ndogo sana!We jamaa bana[emoji3]
Kwanza management imetokea wapi ? Nina insist kweny brand coz ndio kila kitu kilipoanza na kilipolala...hapo juu credit zimeenda kwa kusaga as if yeye ndio kafanya wasafi iwe wasafi... hebu kasome ile comment niliyo quote kwanza...na sijaquote peke yangu,kaangalie reply zote
Kama utashindwa kuelewa nimachosimamia hadi sasa..sina muda wa kubishana...
So do you.Reasoning capacity yako ndogo sana!
Tatizo lenu mnachukulia JF kama kijiwe cha vilaza kama nyinyi.
Unakurupuka na kuandika eti mtu mwenye hisa zaidi ya 51 hana mamlaka yoyote.
Nakushauri kajifunze vitu vifuatavyo:-
1. Mkurugenzi (Director)
2. Mkurugenzi mtendaji (Executive director)
3. Controlling and non controlling shareholding
4. Voting rights
5. Level za maamuzi (kipi kinaishia kwa CEO na management, na kipi kinaenda kujadiliwa na Board.
Ukishajielimisha juu ya hayo, utaweza kupata picha ni kwa namna gani utendaji na maamuzi ulivyo kwenye makampuni.
AiseeEfm wako Dar tu hawawezi kushindana na clouds.
Wasafi hawana ubunifu nao wako Dar pekee.
1. Kuna live session huwa inafanyika Wanene tv,Online ni hatari sana japo watu hawaizingatiimayowela Katika vipindi hivyo vyote kipi kwako unaona ni Bora kuliko vyote na panga kwa mpangilio kuanzia moja mpaka ya mwisho
Msamehee, hajui aliongealoAisee
ila azam kama kampuni in general mgalatia inakua ngumu sana kudumu,,,,,, sijui kwenye media ila huko kwingine ni kazi kweli kudumu bila [emoji1401]Mwenye data atujuze, nini kilichomkimbiza Jeof Lea pale Azam TV? Mahali ambapo kila mtangazaji anatamani awepo kutokana na mishahara yao minono?
ila azam kama kampuni in general mgalatia inakua ngumu sana kudumu,,,,,, sijui kwenye media ila huko kwingine ni kazi kweli kudumu bila [emoji1401]
Wabongo wamelelewa kushindwa ndio maana mtu akichomoka kimaisha utasikia wanasema mali si yake kumbe usawa huu unaangalii maeneo ambayo upo vizuri kisha unamshawishi mtu mwingine achangie mtaji hata kama atatoa ela nyingi kuliko wewe lakini bado ukawa msimamizi mkuuWabongo hawajazoea kuona mtu anaanza kuimba na kufika pale, wao wamezoea msanii baada ya miaka kadhaa anampigia magoti ostaz juma au anakua teja.
Ndiyo maana hawataki kuelewa
Nimecheka sanaWabongo hawajazoea kuona mtu anaanza kuimba na kufika pale, wao wamezoea msanii baada ya miaka kadhaa anampigia magoti ostaz juma au anakua teja.
Ndiyo maana hawataki kuelewa
Marehemu Ruge alikuwa talented sana kuna vitu alikuwa anawaongezea wafanyakazi wake kujibland. Sio kwamba walikuwa wanamuogopa, nadhani walikuwa wanamuheshimu.Nnachokiona ni kwamba watangazaji wa hapo clouds walikuwa hawaondoki kipindi ruge yupo sio kwamba walikuwa wameridhika bali walikuwa wanamuogopa ruge, na hata wale wachache waliokuwa wanathubutu kuondoka walikuwa kama wana ka uoga fulani hivi kama hawajiamini, yule baba cjui alikuwa na kitu gani jamani yani alikuwa anaogopewa kwenye hii industry si mchezo, yani sio wasanii, sio watangazaji yani hata kusaga mwenyewe alikuwa hathubutu kumbishia yule jamaa. Its like Sasahivi finally they are free
Jamoon hyu mkaka geofrey nkimuona nahisi kuwehuka lol, nmefall in [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590] kwake, had sijifahamu uwiiiiiiiiihDeal Done!View attachment 1481683
Clouds mali ya familia ambako kila mwanafamilia ana sharubu, Wasafi Media ni yake binafsi, hivyo ni wazi ataiangalia mali yake binafsi.Clouds ruge alikuwa anaibeba sana.
Kusaga haitendei haki clouds , nguvu kubwa kaiwekea wasafi media..
Yaani tajiri wenu ana kampuni mbili zinazoshindana.. halafu moja anaiwekea nguvu kubwa , lazima wafanyakazi mjisikie vibaya...msepe
Gardner alipotoka Clouds , alitua Times fm, akaenda E fm na kurejea tena Clouds fm.Hv Gadna G si alitoka CMG akaenda EFM na baadae akarudi tena CMG!
Aliyoka CMG, Akaenda TIMES FM, dau likapanda akaenda EFM, Mawingu ndio wakamrudisha baada ya sponsor mmoja kumuhitajiYes,alingolewa hapo akarudishwa clouds