Vangiporini
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 327
- 310
sema ardh sio aru pia cjajua kama kle chuo naona n taasisi
vip kuhusu na soko la ajiraa kwasababu hi nikozi mpyaa kwa monekano flan ilianzishwa mwaka 2010 kwa maana hyoo product yake hapo mtaani kabxaa je ajira ipo na nikiasi gan? naomba niseleweke vbaya napenda kujua kiundand ktu ninacho kwenda kukisoma
asante sana mzanzbr..vp kiasi cha mshaaraa kiweke waz bas