Geolojia inasemaje katika hili, Je kwanini Zanzibar hakuna madini ya dhahabu, copper au Almasi?

Geolojia inasemaje katika hili, Je kwanini Zanzibar hakuna madini ya dhahabu, copper au Almasi?

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Najaribu kujiuliza juu ya upatikanaji wa miamba inasosemakana kuwa na dhahabu au madini mengine yenye thamani kubwa.

Je nchi kama zanzibar ina maana tokea enzi za ukoloni kulikuwa hakuna mwana geolojia aliye gundua dhahabu zanzibar ?

Mbona nishasikia kwamba hapa hapa duniani kuna visiwa vina dhababu nadhani ni huko Asia.

Je, ni kwamba hatujajikita kwenye utafiti au ndio tuko bize na uchumi wa buluu.

Nawasilisha.
 
Najaribu kujiuliza juu ya upatikanaji wa miamba inasosemakana kuwa na dhahabu au madini mengine yenye thamani kubwa.

Je nchi kama zanzibar ina maana tokea enzi za ukoloni kulikuwa hakuna mwana geolojia aliye gundua dhahabu zanzibar ?

Mbona nishasikia kwamba hapa hapa duniani kuna visiwa vina dhababu nadhani ni huko Asia.

Je, ni kwamba hatujajikita kwenye utafiti au ndio tuko bize na uchumi wa buluu.

Nawasilisha.
Kuna Haja gani ya Kuchimba madini wakati Tanganyika ipo? Italeta Faida
 
Tafuta kwanza asili ya miamba ya kisiwa chenyewe, Je ni volcanic, sedimentary, metamorphic?

Baada ya hapo ndipo utakuja kuuliza swali lako mkuu.

Mfano almasi inapatikana zaidi kwenye miamba yenye asili ya majivu ya volcano.
 
Ndgu yangu, dhahabu mara nyingi kwenye nchi zetu hizi haisubiri wanajiolojia mahiri wakwambie ipo au haipo, ni wanajiolojia wetu wa ngumbalu ndio wantuonyesha hapa kuna dhahabu, migodi yote ya dhahabu huku bara ilianzishwa na wachimbaji wadogo ndio wakubwa wakaja na mipesa yao wakaondolewa. kwa mantiki hiyo naamini zanzibar dhahabu ardhini haipo.
 
Tafuta kwanza asili ya miamba ya kisiwa chenyewe, Je ni volcanic, sedimentary, metamorphic?

Baada ya hapo ndipo utakuja kuuliza swali lako mkuu.

Mfano almasi inapatikana zaidi kwenye miamba yenye asili ya majivu ya volcano.
Kwahiyo shinyanga kuna majivu ya volcano na inapatikana, lakini around mount kilimanjaro mbona hakuna almasi
 
Najaribu kujiuliza juu ya upatikanaji wa miamba inasosemakana kuwa na dhahabu au madini mengine yenye thamani kubwa.

Je nchi kama zanzibar ina maana tokea enzi za ukoloni kulikuwa hakuna mwana geolojia aliye gundua dhahabu zanzibar ?

Mbona nishasikia kwamba hapa hapa duniani kuna visiwa vina dhababu nadhani ni huko Asia.

Je, ni kwamba hatujajikita kwenye utafiti au ndio tuko bize na uchumi wa buluu.

Nawasilisha.
Migodi yao ipo Tanganyika.
 
Back
Top Bottom