young_mesult
Senior Member
- Oct 11, 2012
- 133
- 35
Kwa bongo course sio issue unaconnection?
Jitihada yako ndio itakayokutoa na sio kozi
Eti wenzangu wana JF ushauri wenu ni wa muhimu..ipi ni nzuri zaidi ya mwenzake kati ya geomatics na civil kuanzia upande wa upatikanaji wa ajira bongo hadi inavyofundishwa vyuoni..kwa anayejua msaada.
nenda kapige Geomatics ipo poa sana...nenda Ardhi
asante mkubwa ila fafanua jitihada zipi hizoo unazozungumzia
sasa wewe umefauluje au ndo product ya BRN?
Usidanganyike na majina. Nenda kasome Civil Engineering kwa sababu moja tu. Angalia mtaaani kama kuna Civil engineer yupo mtaani hana kazi. lakini ho wa Geomatics wengi tu ajira bado ni tatizo kubwa.