Geor Davie ni nani?

Huyu jamaa no shida jumapili hii nenda utakuja kutuambia

Sipo arusha mkuu ila natamani sana siku nikiwa huko niende kwa kanisa lake...
Kuna rafiki yangu alisemaga channel ni nabii wa uongo....habari zikamfikia channel akasema apewe namba yake ampigie anene maneno matatu tu jamaa afe....nilichoka kweli kweli kama mtumishi wa Mungu anaweza kusema eti aombe mtu afe...kwani Mungu ni muuaji??kweli tuna haja ya kuwa makini na hawa wanaojiita manabii..
 
Apo kwenye fungu la 10 ni sawa kabisa mkuu, soma malachi 3 utaona jinsi ni muhimu kutoa fungu la 10
 
Huyu na Geordavie ni kwikwi nilimfahamu Channel kupitia Geordavie hawa mabroo ni wasaka noti mbaya ila...... Ukipata chance nenda j2 moja
 
Huyu na Geordavie ni kwikwi nilimfahamu Channel kupitia Geordavie hawa mabroo ni wasaka noti mbaya ila...... Ukipata chance nenda j2 moja
Nawakubali sana kwa kusaka hela. Ni wajasiriamali wazuri sana. Ila kwa kutumia neno la mungu kujipatia kipato ni vibaya mno. sitawaamini kamwe manabii kama hawa. Wajinga ndio waliwao
 
Nawakubali sana kwa kusaka hela. Ni wajasiriamali wazuri sana. Ila kwa kutumia neno la mungu kujipatia kipato ni vibaya mno. sitawaamini kamwe manabii kama hawa. Wajinga ndio waliwao

Nasikia hawa jamaa eti kuna kiwango cha maombi na kiwango cha pesa...kwa mfano ukitaka kuombewa maombi yako yanatathiminiwa unaambiwa haya maombi garama yake ni buku 10...20....50...100k etc etc...kama ndivo basi hawa jamaa ni zaidi ya kwikwi...
 
Nasikia hawa jamaa eti kuna kiwango cha maombi na kiwango cha pesa...kwa mfano ukitaka kuombewa maombi yako yanatathiminiwa unaambiwa haya maombi garama yake ni buku 10...20....50...100k etc etc...kama ndivo basi hawa jamaa ni zaidi ya kwikwi...
sasa we unataka kuombewa ununue gari hallafu unato a buku, lazima utoe milioni
 
Apo kwenye fungu la 10 ni sawa kabisa mkuu, soma malachi 3 utaona jinsi ni muhimu kutoa fungu la 10

Mkuu fungu la 10 ni muhimu hata mimi nafahamu ila kwa hawa manabii wetu wa kisasa, ambao wanamiliki ma vogue, helikopta nk, haya makanisa yao sio taasisi kama vile lutheran, catholic, anglican nk bali ni miradi yao. kwenye hayo makanisa ya kina Geordavie hivi kuna kamati ambazo zinapanga matumizi ya hizo sadaka ? mfano kujenga mahospitali, shule nk
 
Unawtafuta wa nini hawa mkuu. Hawa wote ni manabii wa siku za mwisho. Don`t west yr time. Shika sna kile ulichonacho asije muovu akakunyang`nya
ni kweli kaka,....
Mathayo 7:15 tujihadhali na manabii wa uongo,..
 
huwezi kumuona Mungu kwanjia hiyo ndugu,...
mimi simtetei geodavi,...
ila uwez kumuona Mungu,.kwa kujifungia ndani na kusoma bible,..
mkili Yesu awe bwana na mwokoz wa maisha yako,..
utende njia zake sikupaszo,...yaani usitende dhambi,..
then ubatizwe kwa maji mengi,..utakua upo ktk njia sahihi,..
then bible inasema msiache kukusanyika kma ilivyo desturi,...
yaan kwenda church na kuonyana kwa tenzi na zaburi,..
ili uishi ktk misingi ya Mungu,...
 
Wanaojiita mitume na manabii ni raisi kuwafahamu kwa mitindo yao ya maisha kama ni wa ukweli au uongo,au usanii tu.AKILI tumepewa.
 
umemuelezea vyema na umewasilisha vyema hoja zako nami niko makini kusikiliza majibu kwa uzi huu ngoja waje ila umetumia lugha nzuri sana kujenga hoja safi
 
Kuna Uzi wake humu tafuta uhusome kwa vizuri utamjua
 
Yule Anatafuta fedha tu! Wala hana mpango na mambo ya Mungu!
Kuhakikisha hilo, hakuna hata siku moja utamsikia akikemea dhambi wala kusisitiza uchaji wa Amri kumi za Mungu!
Yeye ni kuwasifia tu waumini wake, ili watoe fedha za kutosha!
 
Mungu amembariki sana Hutu nabii no Tajiri wakutupwa .Anamiliki Chopa magari ya kifahari achilia mbali mahekalu pale Arusha .Wamadhabahuni wanakula Madhabahuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…