Sioni tena misafara yake siku hizi,bado yupo kwenye game?Kha!! Ngoja nijaribu kuufufua huu uzi! Na mimi naweza kuitwa nabii eti!! Ila huyo mnyeramba anaonekana mpigaji aisee, Nabii mjanja mjanja!!hahahaaa
Mmemsema sana akajua mumensanukia! Hata hivyo kesha lamba za kutosha!Sioni tena misafara yake siku hizi,bado yupo kwenye game?
Waumini nao wala hakuna anayejiuliza kama jambo hili linaendana na mafundisho ya Biblia juu ya maombi.Huwa nasikiliza redio zao usiku na kubaki nacheka tu. Wanataka pesa tu. Utaambiwa kabla ya kupeleka maombi yako kwa Mungu kamata Pesa (sadaka) yako mkononi kwanza iombewe!!
Mkuu si umtaje tu...si ni Weston yule aliekuwa hoopoe adventure.Mkuu uliyosema ni ukweli kabisa, mi nipo Arusha Majengo so jamaa namjua sana, alikataa jina la Kasambale coz wazungu walikuwa wanapata shida kulitamka, sasa hivi hana nguvu sana na kusanyiko lake kwa sasa ni ukiwa mtupu.... hana watu..!!! waliokuwa wana msaidia huduma wametawanyika na kufungu huduma sehemu mbalimba kisa ni jamaa kula wake za watu... kuna jamaa mmoja hapa sakina ni dereva wa tours (jina ninamwifadhi) amechukuliwa mke na huyu Geor Devil... mke wa jamaa alikuwa msaidizi wake.......
PointKama wewe ni mkristo sahihi unatakiwa kujua kuwa Yesu alipokufa pazia la hekalu (lile ambalo Kuhani mkuu pekee aliruhusiwa kuingia pale kwenye uwepo wa Mungu) lilipasuka hivyo kila mwamini wa kweli anajua anayo tiketi ya kumwendea Mungu bila kupitia kwa hao ambao sasa naona nia yao ni kulishona tena lile pazia lililokwisha kupasuliwa na kututaka tuwape pesa ili wao waingie kule nyuma ya pazia ati watupelekee maombi yetu!!!
Japo Uzi wa siku nyingi Ila Nina hakika wewe utakua kichaaEti kuna mtu alimnyang'anya mke....Huyo anayedai alichukuliwa mke alikuwa wapi??? watu wengine wakipata wake wazuri kazi kuwapiga ovyo na kuwatesa...mwanamke ameamua kujishika kisawasawa na Mungu wake. oooh nimenyang'anywa!!! alifikiri mke ni kibega!! ulipokuwa unampiga na kumchoma moto na kumpeleka police ulifikiri ni mtumwa!!!!
Mkamate Mungu wako kisawasawa mama!!! acha waseme mpaka wafe!!! Tena huyo jamaa asipotubu cha moto atakiona manake Mungu huwa anaangalia penye haki. Hivi GeorDavie ni mtu wa kumchukua mke wa Mtu??? kwa taarifa yake hakunyang'anywa na GeorDavie alinyang'anywa na Mungu...ajifunze jinsi ya kumtunza mwanamke, kumhudumia na kumpenda kwa dhati, Haoni hata aibu??!!! Mwanamke ni almas baba! sifa ya mwanamke ni abembelezwe!!
Kama ameshajifunza vya kutosha amwombe Mungu amrudishie mke wake. Watu wanaongea na kumsema mtu wa Mungu vibaya wakati hawajui ukweli uko wapi! Kwa hiyo alikuwa anampiga akifikiri kwa kuwa anamjua Mungu ataacha kuondoka au ataacha kusali. Tena ninamshauri huyo mwanamke asije akaondoka kwenye hiyo huduma hata angemrudia huyo mume!
Mkamate Yesu mama wa Upako!!! Simama Imara, kishujaa maneno yasikurudishi nyuma. walitaka wakukute kwenye nyumba ya mganga wa kienyeji. Sugua goti mama sijawahi kumwona aliyemkimbilia Mungu akiaibika!
wewe akili huna tema pole sana kwa hiliEti kuna mtu alimnyang'anya mke....Huyo anayedai alichukuliwa mke alikuwa wapi??? watu wengine wakipata wake wazuri kazi kuwapiga ovyo na kuwatesa...mwanamke ameamua kujishika kisawasawa na Mungu wake. oooh nimenyang'anywa!!! alifikiri mke ni kibega!! ulipokuwa unampiga na kumchoma moto na kumpeleka police ulifikiri ni mtumwa!!!!
Mkamate Mungu wako kisawasawa mama!!! acha waseme mpaka wafe!!! Tena huyo jamaa asipotubu cha moto atakiona manake Mungu huwa anaangalia penye haki. Hivi GeorDavie ni mtu wa kumchukua mke wa Mtu??? kwa taarifa yake hakunyang'anywa na GeorDavie alinyang'anywa na Mungu...ajifunze jinsi ya kumtunza mwanamke, kumhudumia na kumpenda kwa dhati, Haoni hata aibu??!!! Mwanamke ni almas baba! sifa ya mwanamke ni abembelezwe!!
Kama ameshajifunza vya kutosha amwombe Mungu amrudishie mke wake. Watu wanaongea na kumsema mtu wa Mungu vibaya wakati hawajui ukweli uko wapi! Kwa hiyo alikuwa anampiga akifikiri kwa kuwa anamjua Mungu ataacha kuondoka au ataacha kusali. Tena ninamshauri huyo mwanamke asije akaondoka kwenye hiyo huduma hata angemrudia huyo mume!
Mkamate Yesu mama wa Upako!!! Simama Imara, kishujaa maneno yasikurudishi nyuma. walitaka wakukute kwenye nyumba ya mganga wa kienyeji. Sugua goti mama sijawahi kumwona aliyemkimbilia Mungu akiaibika!
Inawezekana ikawepo. Kwani hujui kua injili ni biashara siku hiziHabarini za nyakati hizi wapendwa..
nimepata wasaa wa kufuatilia baadhi ya videos za you tube channel yake na nimekua nikiona akitoa hela kwa wasanii, waandishi wa habari mpaka Magari...
Je kuna Injili ya kweli hapo? au wanaomfahamu tafadhali info zaidi tunaomba..
Hakuna watu wenye vichwa vibovu kama walokole. NA ZAMA HIZI NI KAMA VICHAA . MWENYE AFYA YA KILI HUWEZI FUATISHA HAO WATU!!Habarini za nyakati hizi wapendwa,
nimepata wasaa wa kufuatilia baadhi ya video za chaneli ya YouTube yake na nimekuwa nikiona akitoa hela kwa wasanii, waandishi wa habari mpaka magari.
Je, kuna injili ya kweli hapo au? Wanaomfahamu tafadhali taarifa zaidi tunaomba.