George Ambangile: Mchezaji wangu bora wa msimu ni Djigui Diarra

George Ambangile: Mchezaji wangu bora wa msimu ni Djigui Diarra

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
" Diarra ameleta mapinduzi makubwq sana nchini katika idara ya goalkeeping.

Ana footwoork nzuri, anaweza akapiga pasi ndefu ya mita karibia 60 mpaka 70 na ikamfikia mlengwa pale alipo. Anaweza kupooza presha ya mashambulizi, ni mzuri sana katika kupanga mabeki wake yaani ni kiongozi kutokea nyuma ya timu.

Mchango wake mkubwa umeibeba sana Yanga msimu huu. Naweza kusema kwa upande wangu mchezaji bora wa msimu ni Djigui Diarra. "

Hayo ni maneno ya George Ambangile wa Wasafi Fm
 
Kwahiyo wanaweza kucheza wao tu bila wenzao?
Wao kwa wao wakicheza bila hao hawawezi kuifikisha Yanga hapa ilipo

Ila hao wakicheza pamoja na hao wanaweza wakafika mbali.

Sasa hapo utapima mwenyewe ni yupi asset na yupi gaka
 
Sijui kwann wanaona wivu sn mayele kua mchezaji Bora, jamaa anajituma sn kuibeba club Ila hawataki kuappreciate
Kabisa aisee hata mwaka jana walianza hivi hivi kumpigia kampeni Bangala... Lakini still Mayele alistahili na anastahili kua mchezaji Bora wa msimu
 
Yanga kuna wachezaji wawili tu, kuna huyo na yule mwingine

Waliobaki hamna kitu
Nimemkumbuka jamaa mmoja nilisoma nae O LEVEL basi alikuwa anawachukulia watu poa sana . Ukimpita kwenye somo fulani anasema wewe umenipita kwenye math tu geography huniwezi. Ikija ukampita anaahidi tena na tena hadi akaja kula buys form four
 
Back
Top Bottom