Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kwahiyo wanaweza kucheza wao tu bila wenzao?Yanga kuna wachezaji wawili tu, kuna huyo na yule mwingine
Waliobaki hamna kitu
Wao kwa wao wakicheza bila hao hawawezi kuifikisha Yanga hapa ilipoKwahiyo wanaweza kucheza wao tu bila wenzao?
Mwaka huu mtawehukaYanga kuna wachezaji wawili tu, kuna huyo na yule mwingine
Waliobaki hamna kitu
Hilo ndio tatizo lakoMwaka huu mtawehuka
Huyo mwingine si hua unasema ni mbovuYanga kuna wachezaji wawili tu, kuna huyo na yule mwingine
Waliobaki hamna kitu
Kabisa aisee hata mwaka jana walianza hivi hivi kumpigia kampeni Bangala... Lakini still Mayele alistahili na anastahili kua mchezaji Bora wa msimuSijui kwann wanaona wivu sn mayele kua mchezaji Bora, jamaa anajituma sn kuibeba club Ila hawataki kuappreciate
Sijamtaja jina lakiniHuyo mwingine si hua unasema ni mbovu
Kwa nini hutakia kumtaja jina? Unahisi baadhi ya wenzako watakuona wewe ni msaliti? Maana kuna ule uzi wenu wa takwimu....... mpaka leo unaendelea tu kuwavua nguo.Sijamtaja jina lakini
Japo ni kweli ni mbovu ila huwezi kumfananisha na hao wengine
Uongo, huu ni Uongo bwana, nasemajeeeee huu ni Uongo, ScarsYanga kuna wachezaji wawili tu, kuna huyo na yule mwingine
Waliobaki hamna kitu
Nimemkumbuka jamaa mmoja nilisoma nae O LEVEL basi alikuwa anawachukulia watu poa sana . Ukimpita kwenye somo fulani anasema wewe umenipita kwenye math tu geography huniwezi. Ikija ukampita anaahidi tena na tena hadi akaja kula buys form fourYanga kuna wachezaji wawili tu, kuna huyo na yule mwingine
Waliobaki hamna kitu
Hahahaha, mijitu mbumbumbu mara nyingi ndio huwa hivyoNimemkumbuka jamaa mmoja nilisoma nae O LEVEL basi alikuwa anawachukulia watu poa sana . Ukimpita kwenye somo fulani anasema wewe umenipita kwenye math tu geography huniwezi. Ikija ukampita anaahidi tena na tena hadi akaja kula buys form four
Bila shaka hua unalala hoiSijamtaja jina lakini
Japo ni kweli ni mbovu ila huwezi kumfananisha na hao wengine
Si umalizie na Kibu tu.Yanga kuna wachezaji wawili tu, kuna huyo na yule mwingine
Waliobaki hamna kitu
Sijui kwanini killa comment yako wewe imejikita kwenye ramli.Bila shaka hua unalala hoi