Wacha kuwa negative ndugu yangu. Kumjua tu mtu kuna tabu gani?Then what? ...
Jamaa ni mtoto wa mchungaji. Ametokea EA radio , alichukuliwa yeye na kenedy the remedy pamoja na mammyNaomba kumfaham vizuri huyu jamaa mwenye sauti nzito anaetangaza kutoka clouds media kwenye kipind cha Jahaz. Mzaliwa wa wap na amesoma wap?