George Floyd atumika kama ngao ya kuhalalisha wizi madukani na kufanya mauaji

George Floyd atumika kama ngao ya kuhalalisha wizi madukani na kufanya mauaji

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Haya maandamano hayana tena nia ya kutafuta haki, bali kutunisha mifuko ya majangiri, kinachoendelea huko kwa sasa hakihusiani na marehemu na kimegeuza protests kuwa riots.

Vifo vya wamarekani weusi kwa kuuwawa na mapolisi pengine vimegeuka kuwa discount ya asilimia 100 kupata bidhaa madukani bure kabisa na huenda makanjanja wataanza kutengeneza script kabisa siku za mbele watu wengi zaidi weusi wauliwe na mapolisi ili mifuko itune.

Kifo cha George hakikuwa cha haki lakini hiki kinachoendelea kimechukua maisha na mali za watu zaidi.

Yote kwa yote magavana wa maeneo yenye hili tatizo wamekuwa wagumu kuwapa ruksa national guard watatue tatizo kwa sababu za kisiasa, Trump kaahidi kuweka jeshi mitaani endapo magavana wataendelea na kiburi
 
Trump kaahidi kuweka jeshi mitaani endapo magavana wataendelea na kiburi


Aweke jeshi tuheshimiane safari hii baada yahaya maandamano kupita mwakani wakiwa wanaua blacks watazidi kufurahi naroho zao

Angalizo:-msitumie mauaji yabwana marehemu kisiasa Turampet katishia kupeleka jeshi mtaani apeleke ili tuongee lugha moja yenye kueleweka.....
 
Hayo maandamano yamevamiwa na makundi ya wahuni ambao wameamua kutenda uhalifu.

Tatizo sheria zao zinawalinda mno watu wanaoandamana lasivyo wangepigwa mpaka wachakae.
 
Kosa ni kwamba aliuliwa na mzungu, angeuliwa na mweusi mwenzake kama inavyotokea mara nyingi isingekuwa issue.
 
Kosa ni kwamba aliuliwa na mzungu, angeuliwa na mweusi mwenzake kama inavyotokea mara nyingi isingekuwa issue.
Waswahili hua hawauani kwasababu yaubaguzi ila wazungu hasa vyombo vyausalama niwabaguzi kama chombo chenye dhamana yakuwalinda ndio kina wauwa unataka wafanye nini ?!

Wanatakiwa waandamane mfululizo miezi 10[emoji4]
 
Waswahili hua hawauani kwasababu yaubaguzi ila wazungu hasa vyombo vyausalama niwabaguzi kama chombo chenye dhamana yakuwalinda ndio kina wauwa unataka wafanye nini ?!

Wanatakiwa waandamane mfululizo miezi 10[emoji4]
Mawazo aliuwawa na watu wa ccm kwa sababu ya ubaguzi wa kisiasa na pia Tundu Lissu yaliyomkuta ni product ya ubaguzi wa kisiasa na wengine wengi tu.

Angalia hapa Tanzania leo hii Chadema wanavyonyanyaswa utafikiri sio raia hawana kabisa tofauti na Rohingya kule Maienmar.

Ubaguzi ni ubaguzi tu haijalishi inatekelezwa na nani na wapi.
 
Mawazo aliuwawa na watu wa ccm kwa sababu ya ubaguzi wa kisiasa na pia Tundu Lissu yaliyomkuta ni product ya ubaguzi wa kisiasa na wengine wengi tu.

Angalia hapa Tanzania leo hii Chadema wanavyonyanyaswa utafikiri sio raia hawana kabisa tofauti na Rohingya kule Maienmar.

Ubaguzi ni ubaguzi tu haijalishi inatekelezwa na nani na wapi.
mkuu mimi hapa naiongelea US ujue

Kuhusiana na TANZANIA ama AFRIKA kiujumla hua nasema kabisa viongozi ama mataifa mengi(yote) yakiafrika kimsingj yaanu hua hawaipendi ama hawaitaki kabisa demokrasia ila kuna watu ambao wanawalazimisha waifuate nahawa ndio wanayo yasababisha yote haya

Kwanini wanawalazimisha waafrika waifuate demokrasia kunanini nyuma ama ndani ya demokrasia ?!

Kwanini wasiwaache waafrika wakajiendesha kwamifumo wanayoona inafaaa ?!

CHINA hakuna demokrasia ila wanamaendeleo kuzidi nchi zote za afrika zinazodai kua zina demokrasia wanamaendeleo kuliko nchi zote za asia zenye domokrasia

Wanamaendeleo kushinda nchi nyingi za ulaya ambapo kuna demokrasia

Kunanini nyuma ya demokrasia iliofikisha LIBYA pale ilipoleo?!

Demokrasia inanini mbna wazungu wanaipigania sana kwani bila demokrasia maisha hayaendi ?!


Kama maendeleo yanapatikana bila kuwepo demkrasia demokrasia inamaana gani ?!
 
mkuu mimi hapa naiongelea US ujue

Kuhusiana na TANZANIA ama AFRIKA kiujumla hua nasema kabisa viongozi ama mataifa mengi(yote) yakiafrika kimsingj yaanu hua hawaipendi ama hawaitaki kabisa demokrasia ila kuna watu ambao wanawalazimisha waifuate nahawa ndio wanayo yasababisha yote haya

Kwanini wanawalazimisha waafrika waifuate demokrasia kunanini nyuma ama ndani ya demokrasia ?!

Kwanini wasiwaache waafrika wakajiendesha kwamifumo wanayoona inafaaa ?!

CHINA hakuna demokrasia ila wanamaendeleo kuzidi nchi zote za afrika zinazodai kua zina demokrasia wanamaendeleo kuliko nchi zote za asia zenye domokrasia

Wanamaendeleo kushinda nchi nyingi za ulaya ambapo kuna demokrasia

Kunanini nyuma ya demokrasia iliofikisha LIBYA pale ilipoleo?!

Demokrasia inanini mbna wazungu wanaipigania sana kwani bila demokrasia maisha hayaendi ?!


Kama maendeleo yanapatikana bila kuwepo demkrasia demokrasia inamaana gani ?!
Nafikiri watu mmekaririshwa kuhusu demokrasia ni nini na kuwafanya muiangalie ktk mtizamo wa uchaguzi zaidi.

Demokrasia ni haki dhidi ya aina yoyote ya dhuluma, hivyo ni vyema muelewe kuwa hata dini zinahubiri demokrasia japo haziongelei uchaguzi.

China wanaweza kuwa wamefika hapo walipo kwa sababu wana mfumo unaozingatia zaidi kutoa haki kwa watu wake dhidi ya dhuluma kitu ambacho sisi kwa mifumo yetu hii ya kuabudu watu hatuna.

Kwa hiyo swala ni, una mfumo gani wa kiutawala na je inatoaje na kusimamia haki kwa wananchi dhidi ya aina yoyote ya dhuluma na hapo ndipo tunapofeli.

Ukiweka mfumo bora unaoweza ku- guarantee haki hata maadui wa nje hawawezi kupata watu wa kuungana nao ili kuihujumu nchi yako lkn kama hilo halipo utakuwa umekalia tu kuti kavu.
 
Back
Top Bottom