George Flyode asababisha Anonymous kurudi baada ya muda mrefu

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Wadau wa mitandao mnafahamu mfumo huu ambao kuna watu wasiojulikana a.k.a (Anonymous) na wanaingia kwenye mtandao kwa kujificha ili kutimiza lengo husika kwa makusudi yao.

Toka mwaka 2017 katikati hawa jamaa hawakuwa na haja ya kuhack mitandao kwa nia yoyote na siyo kwamba walikuta ugumu lah, ila walipotezea kiaina, ila baada ya sakata la kwa George Flyod kumewaibua tena.

Tunaweza kusema, anonymous wamevamia na kushambulia mtandao wa jimbo yalikoanzia mauaji huko Minneapolis. Pamoja na hilo wame-hack mitandao ya redio za polisi na kuanza kufanya maongezi ya ajabu na polisi.

Wametengeneza kirusi kinachomponda Trump kuanzia na tabia zake za nyuma mpaka sasa na kirusi hicho kinaonekana kama

NB. Hii vita inaweza kuwa ni zaidi ya kifo cha George.

===
Your browser is not able to display this video.
 
Tovuti rasmi ya Polisi Minneapolis tayari imevurugwa kufikia leo saa 8:23 EAT.

Tovuti rasmi ya jimbo imeonesha dalili ya kuingiliwa.

Anonymous wameanza kuachia video zenye matukio ya kidhalimu yenye kuogofya yanayofanywa na polisi/wanausalama.

Legion ndani ya Anonymous wametahadharisha kutoa madudu ya Marekani muda wowote endapo muuaji Darek Chauvin hatohukumiwa kifo.
 
😂😂😂kwahiyo mabeberu wameshikwa pu**u
 
Movie ndo kwanza imeanza..
 
Yani Trump anashindwa kumaliza kesi ndogo kama hii ataweza kuongoza tena miaka 4 ijayo kwa staili hii
Hapa kuna kitu cha ziada kinaibuka kupitia kuuliwa kwa huyo jamaa na inaingia moja kwa moja kwenye siasa ambapo Trump anaweza kuwa na hali ngumu sana, kwenye uchaguzi ujao.
 
Dah!...hawa wadukuzi ni noma aisee.

Huenda majasusi wa mitandao "NSA" wakaingia kazini kuwasaka hao wadukuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…